inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ukristu ni kufuru,ni dini ya kipagani ya warumi, ndiyo maana hata wayahudi hawaipendi, wayahudi wanauvumilia uislam lakini si ukristuWakati wa Musa hata ukristo haukuwepo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukristu ni kufuru,ni dini ya kipagani ya warumi, ndiyo maana hata wayahudi hawaipendi, wayahudi wanauvumilia uislam lakini si ukristuWakati wa Musa hata ukristo haukuwepo.
Jifunze kusoma na kuelewa kwanza kabla ya mjadalaUnaanza kutokumwamini Allah mkuu, unayemwamini ndiye aliyewaambia Israel warithi wa hiyo nchi
Inakuwaje wewe usiamini hilo chief?
Pole sana kwa kuumizwa na hilo,kwamba akina nebuchadnezzar waliisha wote waarabu wakahamia,pole sanaWaarabu wamehamia Iraq juzijuzi enzi za Muhaamad,Babylon ya akina Nebuchadnezar haikuwa ya waarabu.Soma.Historia
Basi na Quran haijajichanganya labda uelewa wenu ni mdogoBiblia haijajichanga ,ni labda uelewa wako mdogo ,
Kanunue mafuta ya alizeti na maji ya ruvu upone magonjwa yoteAkili za kobazi wanazijua wao,sasa ndio uharo gani huu umeandika
Na sisi Tanzania tumelithiswa na nani hii ardhi naomba msaada au AyaKwa mujibu wa Quran Tukufu WALIOPEWA hiyo Ardhi ni Wana wa Israel,hakuna mahali Quran inawatambua WAPALESTINA,kama Kuna Aya zipo nitaomba nisaidiwe maana elimu ni Bahari
Hebu tuangalie Quran inasemaje kuhusu Ardhi kuwa ni ya Wana wa Israeli .
Uislamu Huwa unakwama kwenye historia tu ambayo mara kadhaa imekuwa ikiwaumbua
1. Surat Al-A'raf (7:137)
وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ
"Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa, mashariki ya ardhi na magharibi yake, ambayo tumebariki ndani yake. Na neno zuri la Mola wako Mlezi likatimia juu ya Wana wa Israel, kwa vile walivyosubiri. Na tukaharibu kabisa waliokuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na walizokuwa wakizijenga."
2. Surat Al-Isra (17:104)
وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا
"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."
3. Surat Al-Baqara (2:47)
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ
"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."
4. Surat Al-Baqara (2:122)
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ
"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."
5. Surat Al-Ma'idah (5:24-26)
Aya hizi zinaeleza jinsi Wana wa Israel walivyokataa kuingia katika ardhi hiyo kwa hofu ya watu waliokuwa wakiishi humo, na adhabu yao ya kupotea kwa miaka 40 jangwani:
قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّ فِيهَا قَوْمًا جَبَّارِينَ وَإِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا حَتَّىٰ يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِن يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِنَّا دَاخِلُونَ قَالَ رَجُلَانِ مِنَ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَنْعَمَ اللَّهُ عَلَيْهِمَا ادْخُلُوا عَلَيْهِمُ الْبَابَ فَإِذَا دَخَلْتُمُوهُ فَإِنَّكُمْ غَالِبُونَ ۖ وَعَلَى اللَّهِ فَتَوَكَّلُوا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا أَبَدًا مَّا دَامُوا فِيهَا فَاذْهَبْ أَنتَ وَرَبُّكَ فَقَاتِلَا إِنَّا هَاهُنَا قَاعِدُونَ قَالَ فَإِنَّهَا مُحَرَّمَةٌ عَلَيْهِمْ أَرْبَعِينَ سَنَةً يَتِيهُونَ فِي الْأَرْضِ فَلَا تَأْسَ عَلَى الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ
("Wakasema: Ewe Musa! Hakika humo mna watu wenye nguvu na sisi hatutaingia humo mpaka wao watoke humo. Wakishatoka, basi tutaingia. Watu wawili miongoni mwao waliomuogopa Mwenyezi Mungu na ambao Mwenyezi Mungu amewaneemesha walisema: Waingilieni kwa kupitia mlango, mtakapoingia humo mtakuwa washindi. Na kwa Mwenyezi Mungu mtegemee ikiwa nyinyi ni waumini. Wakasema: Ewe Musa! Hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo. Basi nenda wewe na Mola wako mpigane, sisi tunakaa hapa. Musa akasema: Hakika ardhi hiyo imeharamishwa kwao kwa muda wa miaka arubaini, watatangatanga katika ardhi. Basi usiwaonee huruma hao watu wapotovu.")
Aya hizi zinaeleza historia ya Wana wa Israel na ardhi waliyopewa ,hivo WAPALESTINA ni wavamizi
Kaniblock huyu mgalatia hamis77 said kama wewe kweli unajiamini ni mgalatia kindaki ndaki kwa hoja kwa nini uniblock?Naendelea kusubiri basi andiko Allah anasema ''Ardhi ya wapalestina tumewapa wana wa Israel''
Israel ni taifa bandia kuasisiwa kwake ni mwka 1948 baada ya vita ya pili ya dunia, Netanyahu na wenzao walikuja kwenye ardhi ile kama wageni tu (diaspora) hakuna myahudi ata mmoja umuonae leo kwenye ardhi ile aliyefanana na mtu yeyote katika ukanda ule wa mashariki ya kati wale wote ni wageni sio kwao pale na muda utafika tuu kumalizana nao Quran inatufundisha hivyo pia.
Ulichosoma wewe nini na wkt ushawauliza mashekhe walishndwa kukujibu kwa nini tena utumie Quran kuelezea uhalali waisraeli kupewa ardhi kihalali kwa mujibu wa Quran?Shida yenu ni moja tu hamsomi historia inasemaje kuhusu waisraeli, historia ipo wazi
Kwanza, si sahihi kusema kuwa Qur’an inawataja Waisraeli, Wayahudi, Manaswara, na waliopewa Kitabu kama makundi tofauti kabisa. Qur’an inataja Bani Israil kama ukoo wa Nabii Yakobo, lakini haijawagawanya kwa mtindo huu uliotajwa. Wayahudi na Manaswara wote wanahesabika kuwa ni sehemu ya "Ahlul Kitab" (Watu wa Kitabu), kwa sababu walipokea ufunuo kutoka kwa Mwenyezi Mungu kupitia Taurati na Injili.
Pili, si kweli kuwa Wayahudi wa sasa wote ni Wazayuni au kwamba Ukristo wa leo umetokana na Wakristo bandia wa Antiokia. Zionism ni harakati ya kisiasa iliyoanza karne ya 19, wakati Wayahudi walikuwepo kabla ya hapo kwa maelfu ya miaka. Vile vile, Ukristo ulikuwa umesambaa sehemu nyingi za dunia kabla ya Antiokia kuwa kitovu cha Ukristo wa Kirumi.
Tatu, hoja kwamba wafuasi wa Musa walihamia Ulaya kama watumwa wa Wazungu hadi walipofurushwa na Hitler ni potofu. Wayahudi waliishi Ulaya kwa karne nyingi, wakitoka sehemu mbalimbali za dunia, lakini si kweli kwamba wote walikuwa watumwa. Uhamisho wao ulitokea katika vipindi tofauti vya historia, na mateso yao yalihusiana na siasa na chuki za kikabila zaidi ya imani.
Qur’an imekua jibu halali kwa waisraeli kupewa ardhi na mwenyezimungu na Qur’an hiyo hiyo wewe unaitilia mashaka weeh dishi sijui kama ni zima..kwa kweli!..kiarabu hicho hicho kishndwe kuonyesha hata kipande cha ardhi japo kwa Saudia tu ila ni kwa waisraeli ilionyesha...wewe si umewashinda mashekhe na sisi waislam hatujasoma...haya tuambie basi wewe msomi kulikoni mashekhe wote wapelistina ni wavamizi kutoka wapi?Qur'an inaeleza kuhusu Wana wa Israeli kupewa ardhi katika aya kadhaa. Baadhi ya aya zinazohusu jambo hili ni:
1. Surah Al-Ma'idah (5:20-21)
"Na (kumbukeni) Musa alipowaambia watu wake: Enyi watu wangu! Kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu juu yenu, alipofanya manabii miongoni mwenu, na akakufanyeni wafalme, na akakupeni aliyo kukupeni ambavyo hakuwapeni yeyote katika walimwengu. Enyi watu wangu! Ingieni katika nchi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekukadirieni, wala msirudi nyuma, wasije wakawa wenye kukhasirika."
2. Surah Al-A'raf (7:137)
"Na tukawarithisha watu walio kuwa wanadhununikwa mashariki na magharibi ya nchi tuliyoibariki. Na likatimia neno jema la Mola wako Mlezi kwa Wana wa Israili kwa sababu ya subira yao. Na tukaharibu kabisa waliyo kuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na wakaweza kuwa na majengo na mashamba."
3. Surah Al-Isra (17:104)
"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israili: Kaeni katika nchi. Na itakapofika ahadi ya Akhera, tutakuleteni kwa mkusanyiko."
LETA AYA KWENYE QURAN AU GAZETI ,ALLAH ALIWAHI KUWAPA PALESTINE ARDHI HAPO ISRAEL
Natumia kuwaelezeni nyie ,Ulichosoma wewe nini na wkt ushawauliza mashekhe walishndwa kukujibu kwa nini tena utumie Quran kuelezea uhalali waisraeli kupewa ardhi kihalali kwa mujibu wa Quran?
Kama haijasema kinachowafanya mpalilie pale Jerusalem ni kipi?Qur’an imekua jibu halali kwa waisraeli kupewa ardhi na mwenyezimungu na Qur’an hiyo hiyo wewe unaitilia mashaka weeh dishi sijui kama ni zima..kwa kweli!..kiarabu hicho hicho kishndwe kuonyesha hata kipande cha ardhi japo kwa Saudia tu ila ni kwa waisraeli ilionyesha...wewe si umewashinda mashekhe na sisi waislam hatujasoma...haya tuambie basi wewe msomi kulikoni mashekhe wote wapelistina ni wavamizi kutoka wapi?
Natumia kukujibia wewe maamuma halafu kingine , Muhammad wakati anapewa hints za Story za Quran aliyekuwa anampa ni Padre Waraq mkatolikiUlichosoma wewe nini na wkt ushawauliza mashekhe walishndwa kukujibu kwa nini tena utumie Quran kuelezea uhalali waisraeli kupewa ardhi kihalali kwa mujibu wa Quran?
Wana wa Israili - ''hawa ni watu wanaambiwa'' sio Nchi sio Taifa sio eneo wala kipande cha Ardhi kinaitwa Israel kama munavyodai leo, Taifa la israili lilipatikana mwaka 1948 baada ya vita ya dunia. Neno Israel si nchi ni ukoo wa nabii Yakoub na hilo ni jina la mtu sio nchiAllah wako alisema atawakusanya awarudishe nchi Yao
😂😂😂😂😂😂😂
Surah Al-Isra (17:104)
"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israili: Kaeni katika nchi. Na itakapofika ahadi ya Akhera, tutakuleteni kwa mkusanyiko.
70. Tulifanya agano na Wana wa Israili, na tukawatumia Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio yapenda nafsi zao wengine waliwakanusha na wengine wakawauwa.Natumia kukujibia wewe maamuma halafu kingine , Muhammad wakati anapewa hints za Story za Quran aliyekuwa anampa ni Padre Waraq mkatoliki
Kwahiyo Kuna mambo alimsimulia ndio haya nakupa hapa
Padre Waraq alipokufa tu Wahayi ulikoma na Muhammad akataka kujitoa uhai ,unalijua hilo
Mimi ni muislamu mkuu sio mgalatia, niombe radhiKaniblock huyu mgalatia hamis77 said kama wewe kweli unajiamini ni mgalatia kindaki ndaki kwa hoja kwa nini uniblock?
Nimeshuhudia kwa jina la Allah mapepo yakitokaQuran Haina msaada kwa Binadamu ,ulishaona hata Pepo linatolewa kwa jina la Allah au mudy?
Hata wewe utachekwa pia😂😂😂Hata wenzako watakucheka ujue