hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
- Thread starter
- #181
Mbona hakuna Sehemu huyo Allah aliwarudishia Ardhi WAPALESTINA?Ndio ila inatambua kuwa eneo hilo lilikuwa na wenyeji na wala hakuna sehemu ina onyesha wenyeji waliuliwa WOTE, kwahiyo wapo
1. Surah Al-Ma'idah (5:21)
"Enyi watu wangu! Ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni, wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika."
2. Surah Al-A'raf (7:137)
"Na tukawarithisha watu walio kuwa wanadharauliwa mashariki ya ardhi na magharibi yake, tuliyoibarikia. Na likatimia neno jema la Mola wako Mlezi kwa Wana wa Israili, kwa sababu ya subira yao. Na tukaharibu kabisa waliyo kuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na wakayaega."
3. Surah Al-Isra (17:104)
"Na baada ya haya tukawaambia Wana wa Israili: Kaeni katika nchi; na itakapo kuja ahadi ya Akhera, tutakuleteni nyote pamoja."