Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Sasa hapa umekataa nini ?Palestina ni eneo , unaandikaa maneno mengi ambayo hayana msingi hata kidogo , lile ni eneo ambalo lina watu wa makabila mbali mbali wenye asili zao , siku nyingine acha kupoteza nguvu kwa vitu vyepesi
Shida ww elimu huna ,kaa hapa ujifunze
 
Uislamu ni plan B ya Ukatoliki

Nani kakuambia mm mlokole ? Mm sio mfia dini kama nyie
Plan b kivipi?..ukatoliki Mungu ana nafsi tatu,miungu watatu,yesu mwana wa Mungu,mtu ni mfano wa Mungu, uislam Mungu hafanani na chochote,hana mshirika,lete vitu vyenye mantiki kuthibitisha madai yako
 
Leta Aya kuwa Ardhi ilikuwa ya WAPALESTINA

Mbona huna Aya halafu hakuna Aya walinyang'anywa Ardhi ni mnaungaunga tu
Katika kukataa kwao kuingia hiyo nchi walisema mpaka hao watu waliomo humo waondoke, kwenye biblia kule walikua concerned na ukubwa wa dhakari za watu waliokua katika hiyo nchi,hao watu akina nani?..na walienda wapi?..kama waisrael hawakufikia vigezo na masharti ya kupewa hiyo nchi,kivipi bado wawe na madai ya hiyo nchi?..maana yake wale wsliokuwepo mule wanaendelea kubaki na nchi yao
 
Quran imeidikwa kuhusu Israel mara nyingi lakini Wapalestina hawajatajwa hata mara moja.
 
Basi umedanganywa

Mitume wote wanajulikana Hadi koo zao, mitume wote wametoka katika Israel na walikuwa wayahudi

Usipende kila kitu unachoambiwa unameza tu

Uislamu umekuja na Muhammad

Kabla ya Muhammad hakuna kitu au dini ya Uislamu,
Ibrahim katoka israel na alikua myahudi?.. israel si ni yakobo, kabla yake hapakua na mitume/manabii!?..we hujui chochote unabwabwaja tu!
 
Hizi ni porojo zenu ili kuwashobokea

Muhammad yupo tofauti na mitume na manabii wa Israel waliokuwa wayahudi

Hawaendani hata kidogo

Muhammad kazaliwa huko Uarabuni akapewa utume na Waraq padre na , Mkatoliki bi Khadija
Ibrahim mwarabu wa iraq
 
Back
Top Bottom