Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Kwa mujibu wa Quran uislam ulianza toka kipindi cha nabii Adam a.s. Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Muislam.

Mitume yote ya Mungu walikuwa ni waislam
Basi umedanganywa

Mitume wote wanajulikana Hadi koo zao, mitume wote wametoka katika Israel na walikuwa wayahudi

Usipende kila kitu unachoambiwa unameza tu

Uislamu umekuja na Muhammad

Kabla ya Muhammad hakuna kitu au dini ya Uislamu,
 
Hata ukimkataa Mtume wa Mungu...sisi tunamuamini pasi na chembe ya shaka yoyote
Muhammad hana tofauti na mwamposa

Muhammad yupo tofauti kabisa na mitume wa MUNGU waliozaliwa na kukulia Israel

Fanya utafiti usipotoshwe na MASHEIKH,
 
Waingereza walidhani wamefaulu sana kuwakusanya mayahudi waliotapakaa maeneo mbalimbali duniani na kuwaweka katika ardhi ya Palestine ..Kumbe hawakujua kuwa wanacheza ndani ya mipango ya Mungu.

Mungu kwa makusudi amewaleta mayahudi sehemu moja ili. wapate kufutiliwa mbali katika uso wa ardhi kwasababu ni kizazi cha watu walioua sana Mitume ya Mungu na kukanusha mitume ya Mungu iliyoletwa kwao.

Sura 17:4-8 inaelezea haya masuala ya mayahudi.
 
Papa ndiye muanzilishi na Engineer wa dini ya Uislamu

Ukatoliki ndio walioanzisha uislamu wakimtumia Muhammad

Padre Waraq na bi Khadija aliyekuwa mkatoliki ndio waliompa utume Muhammad
🤣🤣🤣 moja kati ya kakipengele ambacho wengi hawapendi kukasikia, hata wakatoliki wenyewe hawawezi kuambiwa hichi kitu.

Kama kuna kitu duniani kiliwahi kuwa powerful kwenye historia ya binadamu, basi ni roman catholic. Hawa jamaa we waone tu wanasali kiupoleee kivivu vivu ila behind the scene ni mamastermind wa mifumo mingi sana ya kibinadamu
 
Palestina ni jina la eneo sio jamii , ni kama watanzania tu ila ndani unakutana na watu tofauti kama wagogo , wangoni wenye historia tofauti kumbe huelewi kitu
Shida wewe huna elimu

Palestina si jina la eneo pekee, bali ni utambulisho wa kitaifa wa watu wenye historia na tamaduni za pamoja. Wapalestina, wakazi wa eneo hilo, wana utambulisho wa kisiasa unaotambulika kimataifa, na wanajiita Wapalestina kwa muktadha wa kihistoria na kisiasa. Ingawa Palestina ilikuwa sehemu ya Dola ya Ottoman na baadaye chini ya utawala wa Uingereza, wakazi wake walitambulika kama Wapalestina. Hivyo, Palestina ni jamii yenye utambulisho wa pamoja, si jina la eneo kama inavyodaiwa.
 
🤣🤣🤣 moja kati ya kakipengele ambacho wengi hawapendi kukasikia, hata wakatoliki wenyewe hawawezi kuambiwa hichi kitu.

Kama kuna kitu duniani kiliwahi kuwa powerful kwenye historia ya binadamu, basi ni roman catholic. Hawa jamaa we waone tu wanasali kiupoleee kivivu vivu ila behind the scene ni mamastermind wa mifumo mingi sana ya kibinadamu
Upo sahihi ,wanaojua ni wale viongozi wa juu, Hawa wa chini hawaelewi
 
Muhammad hana tofauti na mwamposa

Muhammad yupo tofauti kabisa na mitume wa MUNGU waliozaliwa na kukulia Israel

Fanya utafiti usipotoshwe na MASHEIKH,
Mitume yote ilikuja na kauli mbiu moja ikiwaambia watu kuwa "MUABUDUNI MUNGU MMOJA NA WALA MSIMSHIRIKISHE NA CHOCHOTE KILE"
 
Waingereza walidhani wamefaulu sana kuwakusanya mayahudi waliotapakaa maeneo mbalimbali duniani na kuwaweka katika ardhi ya Palestine ..Kumbe hawakujua kuwa wanacheza ndani ya mipango ya Mungu.

Mungu kwa makusudi amewaleta mayahudi sehemu moja ili. wapate kufutiliwa mbali katika uso wa ardhi kwasababu ni kizazi cha watu walioua sana Mitume ya Mungu na kukanusha mitume ya Mungu iliyoletwa kwao.

Sura 17:4-8 inaelezea haya masuala ya mayahudi.
Nan kakudanganya wayahudi watafutiliwa?

Hivi hizi porojo mnazitoa wapi aisee ?
 
Mitume yote ilikuja na kauli mbiu moja ikiwaambia watu kuwa "MUABUDUNI MUNGU MMOJA NA WALA MSIMSHIRIKISHE NA CHOCHOTE KILE"
Hizi ni porojo zenu ili kuwashobokea

Muhammad yupo tofauti na mitume na manabii wa Israel waliokuwa wayahudi

Hawaendani hata kidogo

Muhammad kazaliwa huko Uarabuni akapewa utume na Waraq padre na , Mkatoliki bi Khadija
 
Shida wewe huna elimu

Palestina si jina la eneo pekee, bali ni utambulisho wa kitaifa wa watu wenye historia na tamaduni za pamoja. Wapalestina, wakazi wa eneo hilo, wana utambulisho wa kisiasa unaotambulika kimataifa, na wanajiita Wapalestina kwa muktadha wa kihistoria na kisiasa. Ingawa Palestina ilikuwa sehemu ya Dola ya Ottoman na baadaye chini ya utawala wa Uingereza, wakazi wake walitambulika kama Wapalestina. Hivyo, Palestina ni jamii yenye utambulisho wa pamoja, si jina la eneo kama inavyodaiwa.
Sasa hapa umekataa nini ?Palestina ni eneo , unaandikaa maneno mengi ambayo hayana msingi hata kidogo , lile ni eneo ambalo lina watu wa makabila mbali mbali wenye asili zao , siku nyingine acha kupoteza nguvu kwa vitu vyepesi
 
Muhammad hana tofauti na mwamposa

Muhammad yupo tofauti kabisa na mitume wa MUNGU waliozaliwa na kukulia Israel

Fanya utafiti usipotoshwe na MASHEIKH,
Mitume yote ilikuja na kauli mbiu moja ikiwaambia watu kuwa "MUABUDUNI MUNGU MMOJA NA WALA MSIMSHIRIKISHE NA CHOCHOTE KILE
Shida wewe huna elimu

Palestina si jina la eneo pekee, bali ni utambulisho wa kitaifa wa watu wenye historia na tamaduni za pamoja. Wapalestina, wakazi wa eneo hilo, wana utambulisho wa kisiasa unaotambulika kimataifa, na wanajiita Wapalestina kwa muktadha wa kihistoria na kisiasa. Ingawa Palestina ilikuwa sehemu ya Dola ya Ottoman na baadaye chini ya utawala wa Uingereza, wakazi wake walitambulika kama Wapalestina. Hivyo, Palestina ni jamii yenye utambulisho wa pamoja, si jina la eneo kama inavyodaiwa.
Taifa la Palestine limekuja baada ya muingereza kuivunja dola ya kiislam ya ottoman na wakagawa mataifa ya middle east kwa mujibu wa makubaliano ya sykes-picot.

Kabla ya hapo Palestine ilihesabika kuwa ni sehemu ya ardhi ya Sham iliyokuwa chini ya utawala wa dola ya khilafa ya Ottoman. Muislam yeyote ana haki ya kuishi katika ardhi ya Palestine.
 
Hizi ni porojo zenu ili kuwashobokea

Muhammad yupo tofauti na mitume na manabii wa Israel waliokuwa wayahudi

Hawaendani hata kidogo

Muhammad kazaliwa huko Uarabuni akapewa utume na Waraq padre na , Mkatoliki bi Khadija
Huna hoja kabisa sasa hv umehamia katika uzushi. Quran inasema kuwa ALLAH ndiye kampa utume , Muhammad.
 
Kwani huo waraka ndio Biblia? Yeye katoa maandiko ndani ya quaran, na wewe lete maandiko ndani ya Biblia yake sio mambo ya waraka wa Papa ambao ni kama gazeti tu.
Akibanwa na hoja anakimbilia kwenye waraka wa papa. Waraka ambao siyo mamlaka kama biblia
 
Mitume yote ilikuja na kauli mbiu moja ikiwaambia watu kuwa "MUABUDUNI MUNGU MMOJA NA WALA MSIMSHIRIKISHE NA CHOCHOTE KILE

Taifa la Palestine limekuja baada ya muingereza kuivunja dola ya kiislam ya ottoman na wakagawa mataifa ya middle east kwa mujibu wa makubaliano ya sykes-picot.

Kabla ya hapo Palestine ilihesabika kuwa ni sehemu ya ardhi ya Sham iliyokuwa chini ya utawala wa dola ya khilafa ya Ottoman. Muislam yeyote ana haki ya kuishi katika ardhi ya Palestine.
Waislamu kwenu ni Makka na Madina mkale tende na kuabudu jiwe jeusi

Israel sio Yenu haiwahusu, manabii na mitume wote walikuwa wayahudi Tena wakuzaliwa ,

Nyie kwenu Maka
 
Akibanwa na hoja anakimbilia kwenye waraka wa papa. Waraka ambao siyo mamlaka kama biblia
Mm nilibanwa na hoja ? Au mwenzako aliyekuwa anamtaja papa ovyo asijue kuwa Papa na Ukatoliki ndio wenye uislamu

Na baada ya kumpa ukweli ,umemuona Tena?

Alijua akimtaja papa basi nitaacha kusema ukweli, asijue mm sifungaman na dini zenu, na Papa na uislamu ni Pete na kidole
 
Waislamu kwenu ni Makka na Madina mkale tende na kuabudu jiwe jeusi

Israel sio Yenu haiwahusu, manabii na mitume wote walikuwa wayahudi Tena wakuzaliwa ,

Nyie kwenu Maka
je Ibrahim alikuwa ni Myahudi? Ishmael alikuwa ni myahudi?, Nuh alikuwa ni myahudi?

Adam alikuwa ni myahudi?

Lut alikuwa ni myahudi?

Seth alikuwa ni myahudi?
 
Huna hoja kabisa sasa hv umehamia katika uzushi. Quran inasema kuwa ALLAH ndiye kampa utume , Muhammad.
Leta Aya Allah kampa utume mudy

Mudy kapewa utume na bi Khadija kule baada ya kutoka mapangoni

Unajua kwanini Mudy alitaka kujiua baada ya Padre Waraq kufariki ?

Kwanini na Wahayi ulikoma baada ya Padre Waraq kufariki?
 
je Ibrahim alikuwa ni Myahudi? Ishmael alikuwa ni myahudi?, Nuh alikuwa ni myahudi?

Adam alikuwa ni myahudi?

Lut alikuwa ni myahudi?

Seth alikuwa ni myahudi?
Hao kwanza sio manabii na hawahusiani na uislamu

Uislamu umekuja mwaka 600s AD Na Muhammad
 
Back
Top Bottom