Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Kumbukumbu la Torati 16:20

"Yaliyo haki kabisa ndiyo utakayoyafuata, ili upate kuishi na kuirithi nchi upewayo na Bwana, Mungu wako."


Zaburi 37:29
"Waadilifu wataimiliki nchi, na wataishi humo milele."


Quran 21:105
Mungu anasema kuwa

"Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema."

Ardhi ya Palestine itarudi katika mikono ya Waislam
Kwakuwa umenukuu biblia nami nitakupeleka huko

Japo mpaka sasa mmeshindwa kuleta hata andiko la kipande cha gazeti kuwa Allah anawatambua WAPALESTINA na hiyo Ardhi aliwapa WAPALESTINA

Surat Al-Isra (17:104)
وَقُلْنَا مِنۢ بَعْدِهِۦ لِبَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ ٱسْكُنُوا۟ ٱلْأَرْضَ فَإِذَا جَآءَ وَعْدُ ٱلْـَٔاخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًۭا
"Na tukawaambia baada yake (Musa) Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapofika ahadi ya mwisho, tutawakusanya nyote pamoja."


Kutoka 6:7-8
"Nami nitawatwaa ninyi kuwa watu wangu, nitakuwa Mungu wenu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, niwatoaye mtoke katika mizigo ya Wamisri. Nami nitawaleta mpaka nchi ile ambayo naliwaapia Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kwamba nitawapa iwe urithi wao; mimi ndimi Bwana."

Mungu anaendelea kuthibitisha kuwa ardhi ya Kanaani ni urithi wa Wana wa Israeli milele.

Zaburi 105:8-11
"Ametilia agano lake kumbukumbu milele, neno aliloliagiza kwa vizazi elfu, agano alilolifanya na Ibrahimu, na kiapo chake kwa Isaka, akakisimamisha kwa Yakobo kuwa amri, na kwa Israeli kuwa agano la milele, akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, kuwa sehemu ya urithi wenu."

Hii ni mojawapo ya uthibitisho wa wazi kuwa ahadi ya ardhi kwa Wana wa Israeli ni ya milele.
 
Kwa mujibu wa Quran Tukufu WALIOPEWA hiyo Ardhi ni Wana wa Israel,hakuna mahali Quran inawatambua WAPALESTINA,kama Kuna Aya zipo nitaomba nisaidiwe maana elimu ni Bahari

Hebu tuangalie Quran inasemaje kuhusu Ardhi kuwa ni ya Wana wa Israeli .

Uislamu Huwa unakwama kwenye historia tu ambayo mara kadhaa imekuwa ikiwaumbua

1. Surat Al-A'raf (7:137)
وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ


"Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa, mashariki ya ardhi na magharibi yake, ambayo tumebariki ndani yake. Na neno zuri la Mola wako Mlezi likatimia juu ya Wana wa Israel, kwa vile walivyosubiri. Na tukaharibu kabisa waliokuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na walizokuwa wakizijenga."

2. Surat Al-Isra (17:104)
وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."

3. Surat Al-Baqara (2:47)
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

4. Surat Al-Baqara (2:122)

يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

5. Surat Al-Ma'idah (5:24-26)

Aya hizi zinaeleza jinsi Wana wa Israel walivyokataa kuingia katika ardhi hiyo kwa hofu ya watu waliokuwa wakiishi humo, na adhabu yao ya kupotea kwa miaka 40 jangwani:

قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّ فِيهَا قَوْمًا جَبَّارِينَ وَإِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا حَتَّىٰ يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِن يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِنَّا دَاخِلُونَ ۝ قَالَ رَجُلَانِ مِنَ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَنْعَمَ اللَّهُ عَلَيْهِمَا ادْخُلُوا عَلَيْهِمُ الْبَابَ فَإِذَا دَخَلْتُمُوهُ فَإِنَّكُمْ غَالِبُونَ ۖ وَعَلَى اللَّهِ فَتَوَكَّلُوا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ ۝ قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا أَبَدًا مَّا دَامُوا فِيهَا فَاذْهَبْ أَنتَ وَرَبُّكَ فَقَاتِلَا إِنَّا هَاهُنَا قَاعِدُونَ ۝ قَالَ فَإِنَّهَا مُحَرَّمَةٌ عَلَيْهِمْ أَرْبَعِينَ سَنَةً يَتِيهُونَ فِي الْأَرْضِ فَلَا تَأْسَ عَلَى الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ

("Wakasema: Ewe Musa! Hakika humo mna watu wenye nguvu na sisi hatutaingia humo mpaka wao watoke humo. Wakishatoka, basi tutaingia. Watu wawili miongoni mwao waliomuogopa Mwenyezi Mungu na ambao Mwenyezi Mungu amewaneemesha walisema: Waingilieni kwa kupitia mlango, mtakapoingia humo mtakuwa washindi. Na kwa Mwenyezi Mungu mtegemee ikiwa nyinyi ni waumini. Wakasema: Ewe Musa! Hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo. Basi nenda wewe na Mola wako mpigane, sisi tunakaa hapa. Musa akasema: Hakika ardhi hiyo imeharamishwa kwao kwa muda wa miaka arubaini, watatangatanga katika ardhi. Basi usiwaonee huruma hao watu wapotovu.")

Aya hizi zinaeleza historia ya Wana wa Israel na ardhi waliyopewa ,hivo WAPALESTINA ni wavamizi
Endelea na inavyoelezea kilichofuata baada ya kupewa
 
Kwakuwa umenukuu biblia nami nitakupeleka huko

Japo mpaka sasa mmeshindwa kuleta hata andiko la kipande cha gazeti kuwa Allah anawatambua WAPALESTINA na hiyo Ardhi aliwapa WAPALESTINA

Surat Al-Isra (17:104)
وَقُلْنَا مِنۢ بَعْدِهِۦ لِبَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ ٱسْكُنُوا۟ ٱلْأَرْضَ فَإِذَا جَآءَ وَعْدُ ٱلْـَٔاخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًۭا
"Na tukawaambia baada yake (Musa) Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapofika ahadi ya mwisho, tutawakusanya nyote pamoja."


Kutoka 6:7-8
"Nami nitawatwaa ninyi kuwa watu wangu, nitakuwa Mungu wenu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, niwatoaye mtoke katika mizigo ya Wamisri. Nami nitawaleta mpaka nchi ile ambayo naliwaapia Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kwamba nitawapa iwe urithi wao; mimi ndimi Bwana."

Mungu anaendelea kuthibitisha kuwa ardhi ya Kanaani ni urithi wa Wana wa Israeli milele.

Zaburi 105:8-11
"Ametilia agano lake kumbukumbu milele, neno aliloliagiza kwa vizazi elfu, agano alilolifanya na Ibrahimu, na kiapo chake kwa Isaka, akakisimamisha kwa Yakobo kuwa amri, na kwa Israeli kuwa agano la milele, akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, kuwa sehemu ya urithi wenu."

Hii ni mojawapo ya uthibitisho wa wazi kuwa ahadi ya ardhi kwa Wana wa Israeli ni ya milele.
Hao wapalestina ni watu wa imani gani,? Halafu jiulize ,Je hiyo imani inatambuliwa na ALLAH ama laa?
 
Kwahiyo Allah ni tapeli?

Surat Al-Isra (17:104):


وَقُلْنَا مِن بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ

"Na tukawaambia baada yake Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi."
1738957743654.png

Na tukawahukumia Wana wa Israili katika Kitabu kwamba: Hakika nyinyi mtafanya fisadi katika nchi mara mbili, na kwa yakini mtapanda kiburi, kiburi kikubwa

Hapo umeelewa nini ?
 
Kwahiyo Allah alikosea kusema hivi?

Surat Al-Isra (17:104):


وَقُلْنَا مِن بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ

"Na tukawaambia baada yake Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi..."
Soma kwa kuelewa umetaja Quran , nimekwambia AYA ina thibitisha kuwa Waisrael ni wavamizi kwa hoja yeyote ile kwasababu walikuta watu hapo

QURAN 2:22
Wakasema:” Ewe Musa! Huko kuna watu majabari . Nasi HATUTAINGIA huko mpaka WATOKE humo; wakitoka humo hapo TUTAINGIA “
 
Kwahiyo Allah yupo sahihi kuwapa Ardhi ?🤣🤣

Surat Al-Isra (17:104):


وَقُلْنَا مِن بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ

"Na tukawaambia baada yake Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi..."
Ndio ila haindoi kuwa ni wavamizi ambao walitumia nguvu dhidi ya wenyeji
 
Je baada ya kufadhilishwa zaidi ya watu wengine walifanya mambo gani pindi walipoletewa mitume?
Yohana 4:22
"Ninyi mwaabudu msichokijua; sisi twaabudu tukijua; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.

Warumi 3

1 Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?

2 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.

3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

4 Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa, Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.
 
1738957883520.png

Hakika hii Qur'ani inaongoa kwenye ya yaliyo nyooka kabisa, na inawabashiria Waumini ambao wanatenda mema ya kwamba watapata malipo makubwa.
Aya zinazozungumzia hiyo nchi na ardhi unazozisema ndo hizi zimeizungumzia pia kuhusu Qurani kama unavyoona hapo juu, Je hao Waisraeli unaowatetea, ni Waislamu ?
 
Nilichogundua waislamu wengi ni maamuma ,hamjui jinsi Allah wenu anavyowatambua Wana wa Israel,

Allah wenu kwenye Quran hawajui WAPALESTINA

Hii mada hamuiwezi nileteeni Mufti mkuu
Shida hii hujui Quran kabisaa , itakuumbua vibaya mno
 
Soma kwa kuelewa umetaja Quran , nimekwambia AYA ina thibitisha kuwa Waisrael ni wavamizi kwa hoja yeyote ile kwasababu walikuta watu hapo

QURAN 2:22
Wakasema:” Ewe Musa! Huko kuna watu majabari . Nasi HATUTAINGIA huko mpaka WATOKE humo; wakitoka humo hapo TUTAINGIA “
Katika Qur’an na Taurati, ardhi hiyo (Ardhi Takatifu) iliahidiwa kwa Bani Isra’il. Katika Qur’an 5:21, Musa anawaambia watu wake:

"Enyi watu wangu! Ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekujaalieni, wala msirudi nyuma, mkageuka kuwa wenye kukhasirika."

Hii inaonyesha kuwa kwa mujibu wa Qur’an, ardhi hiyo ilikuwa imeahidiwa kwao na Mwenyezi Mungu.
 
View attachment 3228404
Hakika hii Qur'ani inaongoa kwenye ya yaliyo nyooka kabisa, na inawabashiria Waumini ambao wanatenda mema ya kwamba watapata malipo makubwa.
Aya zinazozungumzia hiyo nchi na ardhi unazozisema ndo hizi zimeizungumzia pia kuhusu Qurani kama unavyoona hapo juu, Je hao Waisraeli unaowatetea, ni Waislamu ?
Uislamu umeanza mwaka 600s A.D

HISTORIA haidanganyi
 
Kwakuwa umenukuu biblia nami nitakupeleka huko

Japo mpaka sasa mmeshindwa kuleta hata andiko la kipande cha gazeti kuwa Allah anawatambua WAPALESTINA na hiyo Ardhi aliwapa WAPALESTINA

Surat Al-Isra (17:104)
وَقُلْنَا مِنۢ بَعْدِهِۦ لِبَنِىٓ إِسْرَٰٓءِيلَ ٱسْكُنُوا۟ ٱلْأَرْضَ فَإِذَا جَآءَ وَعْدُ ٱلْـَٔاخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًۭا
"Na tukawaambia baada yake (Musa) Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapofika ahadi ya mwisho, tutawakusanya nyote pamoja."


Kutoka 6:7-8
"Nami nitawatwaa ninyi kuwa watu wangu, nitakuwa Mungu wenu; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, niwatoaye mtoke katika mizigo ya Wamisri. Nami nitawaleta mpaka nchi ile ambayo naliwaapia Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kwamba nitawapa iwe urithi wao; mimi ndimi Bwana."

Mungu anaendelea kuthibitisha kuwa ardhi ya Kanaani ni urithi wa Wana wa Israeli milele.

Zaburi 105:8-11
"Ametilia agano lake kumbukumbu milele, neno aliloliagiza kwa vizazi elfu, agano alilolifanya na Ibrahimu, na kiapo chake kwa Isaka, akakisimamisha kwa Yakobo kuwa amri, na kwa Israeli kuwa agano la milele, akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, kuwa sehemu ya urithi wenu."

Hii ni mojawapo ya uthibitisho wa wazi kuwa ahadi ya ardhi kwa Wana wa Israeli ni ya milele.
Halafu unaweza kunukuu ayaat za Quran halafu ukawa huelewi chochote. Hiyo aya uliyoinukuu inaelezea jinsi ambavyo ALLAH amewakusanya mayahudi sehemu moja ili apate kuwafutilia mbali. Soma na aya ya sura 17:4-8 upate kuelewa vizuri.

Wayahudi waliacha imani sahihi ya kumuabudu ALLAH na wakaua sana mitume na mingine mingi wakaikataa...Sasa ALLAH amesema kuwa itakapofika ahadi ya mwisho (zama hizi za mwisho) atawakusanya wote sehemu moja na kitakachofata ni vita kubwa kati ya Waislam na Wayahudi na ndio itakuwa mwisho wa uyahudi na mayahudi hapa duniani.


Mtume Muhammad (pbuh) alisema kuwa hakitasimama Qiyama mpaka pale waislam watakapopambana na mayahudi. Itafikia mahali myahudi atakimbia kujificha nyuma ya jiwe ila jiwe litasema kumuita muislam kuwa nyuma yake amejificha myahudi.
 
Katika Qur’an na Taurati, ardhi hiyo (Ardhi Takatifu) iliahidiwa kwa Bani Isra’il. Katika Qur’an 5:21, Musa anawaambia watu wake:

"Enyi watu wangu! Ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekujaalieni, wala msirudi nyuma, mkageuka kuwa wenye kukhasirika."

Hii inaonyesha kuwa kwa mujibu wa Qur’an, ardhi hiyo ilikuwa imeahidiwa kwao na Mwenyezi Mungu.
Soma 22 nini wayahudi walijibu HAWAWEZI kuingia mpaka wale wenyeji wao watoke mbona jambo lipo wazi sana
 
Uislamu umeanza mwaka 600s A.D

HISTORIA haidanganyi
Kwa mujibu wa Quran uislam ulianza toka kipindi cha nabii Adam a.s. Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Muislam.

Mitume yote ya Mungu walikuwa ni waislam
 
Halafu unaweza kunukuu ayaat za Quran halafu ukawa huelewi chochote. Hiyo aya uliyoinukuu inaelezea jinsi ambavyo ALLAH amewakusanya mayahudi sehemu moja ili apate kuwafutilia mbali. Soma na aya ya sura 17:4-8 upate kuelewa vizuri.

Wayahudi waliacha imani sahihi ya kumuabudu ALLAH na wakaua sana mitume na mingine mingi wakaikataa...Sasa ALLAH amesema kuwa itakapofika ahadi ya mwisho (zama hizi za mwisho) atawakusanya wote sehemu moja na kitakachofata ni vita kubwa kati ya Waislam na Wayahudi na ndio itakuwa mwisho wa uyahudi na mayahudi hapa duniani.


Mtume Muhammad (pbuh) alisema kuwa hakitasimama Qiyama mpaka pale waislam watakapopambana na mayahudi. Itafikia mahali myahudi atakimbia kujificha nyuma ya jiwe ila jiwe litasema kumuita muislam kuwa nyuma yake amejificha myahudi.
Hizi ni porojo za Muhammad

Na wewe kabisa unaziamini?
 
Nimekuomba Aya kuhusu kupewa WAPALESTINA,cha ajabu unapiga porojo tu
Kwani katika Qurani au Biblia,kuna sehemu inaonyesha kuwa ardhi ya Tanganyika ndio Ardhi ya Tanzania,ukileta
kesho nakuja kanisani
 
Yohana 4:22
"Ninyi mwaabudu msichokijua; sisi twaabudu tukijua; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.

Warumi 3

1 Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?

2 Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.

3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

4 Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa, Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako, Ukashinde uingiapo katika hukumu.
ushaanza kuchanganyikiwa sasa unaleta maneno ya muuaji wa wanafunzi wa Yesu (Paulo)
 
Nimekuomba Aya kuhusu kupewa WAPALESTINA,cha ajabu unapiga porojo tu
Palestina ni jina la eneo sio jamii , ni kama watanzania tu ila ndani unakutana na watu tofauti kama wagogo , wangoni wenye historia tofauti kumbe huelewi kitu
 
Back
Top Bottom