Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Waarabu wamehamia Iraq juzijuzi enzi za Muhaamad,Babylon ya akina Nebuchadnezar haikuwa ya waarabu.Soma.Historia
Pole sana kwa kuumizwa na hilo,kwamba akina nebuchadnezzar waliisha wote waarabu wakahamia,pole sana
 
Na sisi Tanzania tumelithiswa na nani hii ardhi naomba msaada au Aya
 
Kaniblock huyu mgalatia hamis77 said kama wewe kweli unajiamini ni mgalatia kindaki ndaki kwa hoja kwa nini uniblock?
 
Ulichosoma wewe nini na wkt ushawauliza mashekhe walishndwa kukujibu kwa nini tena utumie Quran kuelezea uhalali waisraeli kupewa ardhi kihalali kwa mujibu wa Quran?
 
Qur’an imekua jibu halali kwa waisraeli kupewa ardhi na mwenyezimungu na Qur’an hiyo hiyo wewe unaitilia mashaka weeh dishi sijui kama ni zima..kwa kweli!..kiarabu hicho hicho kishndwe kuonyesha hata kipande cha ardhi japo kwa Saudia tu ila ni kwa waisraeli ilionyesha...wewe si umewashinda mashekhe na sisi waislam hatujasoma...haya tuambie basi wewe msomi kulikoni mashekhe wote wapelistina ni wavamizi kutoka wapi?
 
Ulichosoma wewe nini na wkt ushawauliza mashekhe walishndwa kukujibu kwa nini tena utumie Quran kuelezea uhalali waisraeli kupewa ardhi kihalali kwa mujibu wa Quran?
Natumia kuwaelezeni nyie ,

Ukitaka nitatumia Biblia ,Tanakh na Talmud ,
 
Kaniblock huyu mgalatia hamis77 said kama wewe kweli unajiamini ni mgalatia kindaki ndaki kwa hoja kwa nini uniblock?
Wapi nimeku block Mimi?

Mbona unajitungia uongo ,mm Niku block wewe usiye na hoja wala hata huna Aya moja kichwani ya Quran ,Niku block ili iweje ?😂
 
Kama haijasema kinachowafanya mpalilie pale Jerusalem ni kipi?
 
Ulichosoma wewe nini na wkt ushawauliza mashekhe walishndwa kukujibu kwa nini tena utumie Quran kuelezea uhalali waisraeli kupewa ardhi kihalali kwa mujibu wa Quran?
Natumia kukujibia wewe maamuma halafu kingine , Muhammad wakati anapewa hints za Story za Quran aliyekuwa anampa ni Padre Waraq mkatoliki

Kwahiyo Kuna mambo alimsimulia ndio haya nakupa hapa

Padre Waraq alipokufa tu Wahayi ulikoma na Muhammad akataka kujitoa uhai ,unalijua hilo
 
Wana wa Israili - ''hawa ni watu wanaambiwa'' sio Nchi sio Taifa sio eneo wala kipande cha Ardhi kinaitwa Israel kama munavyodai leo, Taifa la israili lilipatikana mwaka 1948 baada ya vita ya dunia. Neno Israel si nchi ni ukoo wa nabii Yakoub na hilo ni jina la mtu sio nchi
 
70. Tulifanya agano na Wana wa Israili, na tukawatumia Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio yapenda nafsi zao wengine waliwakanusha na wengine wakawauwa.
71. Na wakadhani kuwa hapatakuwa majaribio; basi wakawa vipofu na viziwi. Kisha Mwenyezi Mungu akawapokelea toba zao. Kisha tena wengi katika wao wakawa vipofu na viziwi. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyaona hayo wayatendayo.
72. Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.
73. Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.....SABABU NIMEONA KICHWA CHAKO KIGUMU KUELEWA NIMEKUWEKEA SURAT AL MAIDAH ...HALAFU UTUONYESHE KAMA WANA ISRAEL WALIPEWA ARDHI QURAN NDO ILISHNDWA PIA KUONYESHA MIPAKA YAO?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…