Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Kupitia QURAN aya ya surat al maidah 20 si ndio?..
Haya wapelistina hawajatajwa msomi wa Theology tuambie hiyo ardhi ilianzia wapi na mwsh wake wapi kwa mujibu wa Quran
KWAHIYO UNAKUBALI QURAN HAINA MAJIBU KUHUSU WAFILIST/WAPALESTINA?

USIZUNGUKEZUNGUKE ,NYOOSHA MAELEZO
 
Huko mbali sana na Mandela naye ?
Hizo za siasa hazinihusu, tumalize hili la Muhammad na wayahudi ,mnawachukia ila Mnajipendekeza kwa mitume na manabii karibu wote ambao ni wayahudi kwa kuzaliwa

Mnatumia akili
 
Mimi sijakataa kukusaidia ,nataka ukubali tuendelee na mada ,au unaona aibu kukubali kuwa Quran Haina majibu kuhusu WAFILIST/WAPALESTINA?

WEWE KUBALI ,HALAFU TUENDELEE SASA
Kwhy kumsaidia mtu mpk akubali..haya nakubali nisaidie nijue wapelistina kwao ni wapi?
 
Hizo za siasa hazinihusu, tumalize hili la Muhammad na wayahudi ,mnawachukia ila Mnajipendekeza kwa mitume na manabii karibu wote ambao ni wayahudi kwa kuzaliwa

Mnatumia akili
Duuh mgalatia umecharuka unaropokwa tuu namna hii lazima mashekhe 6 uwashinde..
 
KWAHIYO UNAKUBALI QURAN HAINA MAJIBU KUHUSU WAFILIST/WAPALESTINA?

USIZUNGUKEZUNGUKE ,NYOOSHA MAELEZO
Eeh nakubali toa basi hilo jibu wapelistina kwao ni wapi...tukawaambie Hamas waache kusimamisha mishipa ya shingo..
 
Hizo za siasa hazinihusu, tumalize hili la Muhammad na wayahudi ,mnawachukia ila Mnajipendekeza kwa mitume na manabii karibu wote ambao ni wayahudi kwa kuzaliwa

Mnatumia akili
Nimekwambia sababu zipo wazi unasema siasa?..Israel ilijipenyeza kinyemela ikaingia mikataba ya kutengeneza viwanda vya silaha ndani ya Africa kusini baada ya makuburu kupewa vikwazo vya kichumi
The rest was history ikawa mauaji juu ya mauaji makaburu silaha wakawa wanazipata humo humo bila shida alipoingia Mandela madarakni akavitaifisha viwanda vyao ndo mana'ke mpk kesho msauzi Africa hawaikubali Israel mana'ke laiti wasingetengeneza viwanda makaburu wangekosa silaha
 
KWAHIYO UNAKUBALI QURAN HAINA MAJIBU KUHUSU WAFILIST/WAPALESTINA?

USIZUNGUKEZUNGUKE ,NYOOSHA MAELEZO
Msomi wa Theology umebuma uliye mshinda baba'ako mzazi na mashekhe 6?...Lete majibu upesi tuwapelekee Hamas waache ubishi wkt kumbe weeh huku mgalatia unajua...sasa kwa nini Netanyahu asikufuate huku
 
Hiyo Quran imejichanganya kwenye mambo mengi sana, yaani huyo muarabu angekaa aisome kwanza kabla kuja kuachia kipindi anabuni uislamu wake
Nimekua nafuatilia mwalimu Ndacha anavowaumbua waislamu hadi huruma, kama Kuna mwenye akili alipaswa auhame, sema Huwa wamekamatwa na majini hata uwaambie nini hawatakuelewa
Boss acha uongo, nijuavyo mimi Qur an ni daftari alilotumia muhammad kujifunza kusoma na kuandika. Hizo hekaya zilizo andikwa huko ni homework alizokuwa anapewa za kutunga visa vya kusisimua. Hivyo hatupaswi kusoma tukiwa serious.
 
Boss acha uongo, nijuavyo mimi Qur an ni daftari alilotumia muhammad kujifunza kusoma na kuandika. Hizo hekaya zilizo andikwa huko ni homework alizokuwa anapewa za kutunga visa vya kusisimua. Hivyo hatupaswi kusoma tukiwa serious.
Weeh mgalatia punguza wenge kasome waraka wa Papa Francis utafute basha'ako uolewe....
 
Mbona hakuna Sehemu huyo Allah aliwarudishia Ardhi WAPALESTINA?


1. Surah Al-Ma'idah (5:21)
"Enyi watu wangu! Ingieni katika ardhi takatifu ambayo Mwenyezi Mungu amekuandikieni, wala msirudi nyuma, msije mkawa wenye kukhasirika."


2. Surah Al-A'raf (7:137)
"Na tukawarithisha watu walio kuwa wanadharauliwa mashariki ya ardhi na magharibi yake, tuliyoibarikia. Na likatimia neno jema la Mola wako Mlezi kwa Wana wa Israili, kwa sababu ya subira yao. Na tukaharibu kabisa waliyo kuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na wakayaega."


3. Surah Al-Isra (17:104)
"Na baada ya haya tukawaambia Wana wa Israili: Kaeni katika nchi; na itakapo kuja ahadi ya Akhera, tutakuleteni nyote pamoja."
Hivi unajua unacho andika ? nimekwambia pale Israel alipo pewa kuna wenyeji pale ndio maana walikataa kuingia mpaka watolewe, na hakuna mahali Quran imeandika kuwa wale wenyeji waliuliwa WOTE maana yake ni wapo , kuhusu Palestina ni jina jipya kabisaa ambalo limekuja kutokea badae kwa maana ya eneo fulani acha kuchanganya vitu
 
Boss acha uongo, nijuavyo mimi Qur an ni daftari alilotumia muhammad kujifunza kusoma na kuandika. Hizo hekaya zilizo andikwa huko ni homework alizokuwa anapewa za kutunga visa vya kusisimua. Hivyo hatupaswi kusoma tukiwa serious.
SOMA ukiwa serious kile kitabu ambacho Mungu wako Yesu alipigwa makofi na viumbe wake wanadamu
 
Fahamu kwamba Israel asili yake haikuwa Nchi na haijawahi kuwa Nchi mpaka mwaka 1948 baada ya vita ya pili ya dunia wazungu wa Britain wakalitangaza hilo Taifa la Israel.

Israeli si taifa. Ni jina la Mtume. Nabii huyo ambaye baba yake aliitwa Yakobo, Wana hao wa Israeli walijulikana kuwa makabila 12 ya Israeli. Watu hawa wanaunda wale tunaowaita "Mayahudi" siku hizi, lakini Kiislamu wanaitwa Wana wa Israili, hivyo ndivyo Allah S.W.T anawaita. Neno Israeli halijawahipo kuhusishwa na serikali ni jambo jipya.

Narudia tena Israel ni Jina maalum la Nabii Yakub (AS) alilopewa na Allah (SWT). Haina uhusiano wowote na Nchi ya Kishetani ambayo imelitumia vibaya na kuliteka nyara jina la Nabii wa Mungu.

Umetumia muda mwingi kwenda kwenye Quran tukufu na kuleta hapa baadhi ya aya ingawa ziko na nyengine nyingi umeziacha, lakini katika aya hizo zote ulizoleta na ulizoziacha hakuna mahali zinatafsiri kwamba Israel ni Nchi (State) never (بَنِي إِسْرَائِيلَ) hili neno bani Israel maana yake ni watu wa ukoo Prophet Yakub na si (Nchi/State)

Hao kina Netanyahu na wenzake waliletwa hapo kwenye ardhi ya Palestina kama Diaspora baada ya hiyo vita ya pili ya dunia na kuanza kukatiwa vipande vya ardhi kila siku wanasogea mbele mpaka sasa zamai hizi imefikia halii hii uionayo. na wameletwa hapo kimkakati ili Nchi za ulaya na marekani waweze kupata mahali pa kudhibiti dola za kiarabu (Mashariki ya kati) kutokana na raslimali walizonazo walizobarikiwa lakini pia kujaribu kudhibiti mataifa ya kiislam yenye nguvu duniani na kupenyeza mila zao za kishenzi ili kuwavuruga waislamu.

Nafkiri baada ya kuapta muda kusoma maelezo haya hutakuja tena hapa na kasumba zako kama ulivyolishwa.
Just basic history
Hata ukimkataa Mtume wa Mungu...sisi tunamuamini pasi na chembe ya shaka yoyote
Mtume wa mungu gani?
Kama ni mungu Alha
Ndio ila inatambua kuwa eneo hilo lilikuwa na wenyeji na wala hakuna sehemu ina onyesha wenyeji waliuliwa WOTE, kwahiyo wapo
Kwa hiyo hao wenyeji(Cannites) ndio hao wapalestina?

Unaona mnavyojichanganya!!!

1. Mara mseme Wapalestina ni wana wa israel waliotajwa kwenye Quran ila walibadili dini kuwa waislam

2. Mara mseme hao wenyeji waliokutwa na waisrael ndio wapalestina.

Sasa tushike lipi?
 
Weeh mgalatia punguza wenge kasome waraka wa Papa Francis utafute basha'ako uolewe....
Papa Francis anatofauti gani na Muhammad au Allah? Wote ni matapeli. That's why Qur an tukufu inasema Muhammad alimwomba Allah amwingize mwingizo mtakatifu. Umewahi kujiuliza ni mwingizo gani huo?
 
Back
Top Bottom