Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Just basic history

Mtume wa mungu gani?
Kama ni mungu Alha

Kwa hiyo hao wenyeji(Cannites) ndio hao wapalestina?

Unaona mnavyojichanganya!!!

1. Mara mseme Wapalestina ni wana wa israel waliotajwa kwenye Quran ila walibadili dini kuwa waislam

2. Mara mseme hao wenyeji waliokutwa na waisrael ndio wapalestina.

Sasa tushike lipi?
Soma tena huelewi mbona nimetumia kiswahili fasaha sana
 
Quran 24:55

Mwenyezi Mungu amewaahidi wale walio amini miongoni mwenu na wakatenda mema, ya kwamba atawafanya makhalifa katika ardhi kama alivyo wafanya makhalifa wa kabla yao, na kwa yakini atawasimamishia Dini yao aliyo wapendelea, na atawabadilishia amani baada ya khofu yao. Wawe wananiabudu Mimi, wala wasinishirikishe na chochote. Na watao kufuru baada ya hayo, basi hao ndio wapotovu.
Katika Quran, maislamu na maarabu yamejichanganya sana. Inawezekanaje mtu aliyeoa mtoto wa miaka 9 na hajui kusoma na kuandika ukamuamini?
 
Msomi wa Theology umebuma uliye mshinda baba'ako mzazi na mashekhe 6?...Lete majibu upesi tuwapelekee Hamas waache ubishi wkt kumbe weeh huku mgalatia unajua...sasa kwa nini Netanyahu asikufuate huku
KWAHIYO UNAKUBALI QURAN HAINA MAJIBU KUHUSU WAFILIST/WAPALESTINA?

USIZUNGUKEZUNGUKE ,NYOOSHA MAELEZO
 
WAPALESTINA watafute waarabu wenzao
FB_IMG_1739050886026.jpg
 
Kwa mujibu wa Quran Tukufu WALIOPEWA hiyo Ardhi ni Wana wa Israel,hakuna mahali Quran inawatambua WAPALESTINA,kama Kuna Aya zipo nitaomba nisaidiwe maana elimu ni Bahari

Hebu tuangalie Quran inasemaje kuhusu Ardhi kuwa ni ya Wana wa Israeli .

Uislamu Huwa unakwama kwenye historia tu ambayo mara kadhaa imekuwa ikiwaumbua

1. Surat Al-A'raf (7:137)
وَأَوْرَثْنَا الْقَوْمَ الَّذِينَ كَانُوا يُسْتَضْعَفُونَ مَشَارِقَ الْأَرْضِ وَمَغَارِبَهَا الَّتِي بَارَكْنَا فِيهَا ۖ وَتَمَّتْ كَلِمَةُ رَبِّكَ الْحُسْنَىٰ عَلَىٰ بَنِي إِسْرَائِيلَ بِمَا صَبَرُوا ۖ وَدَمَّرْنَا مَا كَانَ يَصْنَعُ فِرْعَوْنُ وَقَوْمُهُ وَمَا كَانُوا يَعْرِشُونَ


"Na tukawarithisha watu waliokuwa wakidharauliwa, mashariki ya ardhi na magharibi yake, ambayo tumebariki ndani yake. Na neno zuri la Mola wako Mlezi likatimia juu ya Wana wa Israel, kwa vile walivyosubiri. Na tukaharibu kabisa waliokuwa wakiyatenda Firauni na watu wake na walizokuwa wakizijenga."

2. Surat Al-Isra (17:104)
وَقُلْنَا مِنْ بَعْدِهِ لِبَنِي إِسْرَائِيلَ اسْكُنُوا الْأَرْضَ فَإِذَا جَاءَ وَعْدُ الْآخِرَةِ جِئْنَا بِكُمْ لَفِيفًا

"Na baada yake tukawaambia Wana wa Israel: Kaeni katika ardhi. Na utakapokuja ahadi ya Akhera tutakuleteni nyote pamoja (kutoka sehemu mbalimbali)."

3. Surat Al-Baqara (2:47)
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

4. Surat Al-Baqara (2:122)

يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

"Enyi Wana wa Israel! Kumbukeni neema yangu niliyokuneemesheni, na kwamba niliwafadhilisha juu ya walimwengu."

5. Surat Al-Ma'idah (5:24-26)

Aya hizi zinaeleza jinsi Wana wa Israel walivyokataa kuingia katika ardhi hiyo kwa hofu ya watu waliokuwa wakiishi humo, na adhabu yao ya kupotea kwa miaka 40 jangwani:

قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّ فِيهَا قَوْمًا جَبَّارِينَ وَإِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا حَتَّىٰ يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِن يَخْرُجُوا مِنْهَا فَإِنَّا دَاخِلُونَ ۝ قَالَ رَجُلَانِ مِنَ الَّذِينَ يَخَافُونَ أَنْعَمَ اللَّهُ عَلَيْهِمَا ادْخُلُوا عَلَيْهِمُ الْبَابَ فَإِذَا دَخَلْتُمُوهُ فَإِنَّكُمْ غَالِبُونَ ۖ وَعَلَى اللَّهِ فَتَوَكَّلُوا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ ۝ قَالُوا يَا مُوسَىٰ إِنَّا لَن نَّدْخُلَهَا أَبَدًا مَّا دَامُوا فِيهَا فَاذْهَبْ أَنتَ وَرَبُّكَ فَقَاتِلَا إِنَّا هَاهُنَا قَاعِدُونَ ۝ قَالَ فَإِنَّهَا مُحَرَّمَةٌ عَلَيْهِمْ أَرْبَعِينَ سَنَةً يَتِيهُونَ فِي الْأَرْضِ فَلَا تَأْسَ عَلَى الْقَوْمِ الْفَاسِقِينَ

("Wakasema: Ewe Musa! Hakika humo mna watu wenye nguvu na sisi hatutaingia humo mpaka wao watoke humo. Wakishatoka, basi tutaingia. Watu wawili miongoni mwao waliomuogopa Mwenyezi Mungu na ambao Mwenyezi Mungu amewaneemesha walisema: Waingilieni kwa kupitia mlango, mtakapoingia humo mtakuwa washindi. Na kwa Mwenyezi Mungu mtegemee ikiwa nyinyi ni waumini. Wakasema: Ewe Musa! Hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo. Basi nenda wewe na Mola wako mpigane, sisi tunakaa hapa. Musa akasema: Hakika ardhi hiyo imeharamishwa kwao kwa muda wa miaka arubaini, watatangatanga katika ardhi. Basi usiwaonee huruma hao watu wapotovu.")

Aya hizi zinaeleza historia ya Wana wa Israel na ardhi waliyopewa ,hivo WAPALESTINA ni wavamizi
Usipende kuiamini Quaran, kile ni kitabu cha uzushi tu na ubaguzi
 
Papa Francis anatofauti gani na Muhammad au Allah? Wote ni matapeli. That's why Qur an tukufu inasema Muhammad alimwomba Allah amwingize mwingizo mtakatifu. Umewahi kujiuliza ni mwingizo gani huo?
Mwingizo huo huo anao nataka Papa ukuingie...mbn Papa Francis hana tabu keshasema Africa mtaelewa tuu kidogo kidogo
 
Msomi kumbe una mchongo unajua wapelistina kwao wapi ...jikaze ufanye kikao uwaite Hamas na Netanyahu
KWAHIYO UNAKUBALI QURAN HAINA MAJIBU KUHUSU WAFILIST/WAPALESTINA?

USIZUNGUKEZUNGUKE ,NYOOSHA MAELEZO
 
KWAHIYO UNAKUBALI QURAN HAINA MAJIBU KUHUSU WAFILIST/WAPALESTINA?

USIZUNGUKEZUNGUKE ,NYOOSHA MAELEZO
Acha basi utoto au ushaimba mapambio nakula udongo nini?
QURAN haijawapa wapelistina imewapa waisraeli.....hiyo ardhi haya chukueni vyote na muwaue mbaki pekee yenu
 
Papa na UKATOLIKI NA UISLAMU NI Pete na kidole
Papa Francis ni muislam safi kabisaa yanii kapiga kwny kichwa mnapumua juu juu sahv mnajifanya wote ni walokole...na bado mpk mkae kwny mabenchi na wasenge
Si mshaanza hapa kibongo bongo eti Aggrey naye anasimama madhabahuni anawsomea neno la bwana yanii USA aanzishe ulokole wewe huku umpinge?
 
Aya hizi zinaeleza historia ya Wana wa Israel na ardhi waliyopewa ,hivo WAPALESTINA ni wavamizi
Mkuu hamis77 utaandamwa humu mpaka utoke jasho, kuna watu Kiembembuzi walitoka Oman wanakupiga jicho😏
 
Mkuu hamis77 utaandamwa humu mpaka utoke jasho, kuna watu Kiembembuzi walitoka Oman wanakupiga jicho😏
Usimtie mwenzio ujinga sio yeye wala mimi au wewe na kinachoendelea Gaza kina manufaa kwetu na kama kinachoendelea Congo ppt penye mauaji panahitaji patendeke haki haijalishi kabila wala dini..kuelimishana ili tupate compromise ya haki vitu simpo tu pale ni kwa Israel Quran imesema sawa haya wapelistina kwao wapi na yeye anajinasibu sijui msomi anakuja na kibandiko chake kakitoa Google.
Halafu ananiuliza tena si umekubali lkn Quran haijawataja wapelistina?...haya hao waliotajwa waisraeli mipaka yao ni ipi?..zamani kulikua na nchi? Kama ni wavamizi kwa nini 1948 patengwe two state?..mvamizi utampa ahadi ya kumjengea makazi mapya?...ndo nimemwambia aache utoto inawezekana napoteza mda wangu na mtoto wa 2006..wapelistina pale sio kwao sasa kwao ni wapi tokea enzi ya Mussa kapita Harun nabii Daud na mwanaye Suleman kwa nini washndw kuwarudisha kwao?
 
Back
Top Bottom