Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Soma tena huelewi mbona nimetumia kiswahili fasaha sana
 
Katika Quran, maislamu na maarabu yamejichanganya sana. Inawezekanaje mtu aliyeoa mtoto wa miaka 9 na hajui kusoma na kuandika ukamuamini?
 
Msomi wa Theology umebuma uliye mshinda baba'ako mzazi na mashekhe 6?...Lete majibu upesi tuwapelekee Hamas waache ubishi wkt kumbe weeh huku mgalatia unajua...sasa kwa nini Netanyahu asikufuate huku
KWAHIYO UNAKUBALI QURAN HAINA MAJIBU KUHUSU WAFILIST/WAPALESTINA?

USIZUNGUKEZUNGUKE ,NYOOSHA MAELEZO
 
WAPALESTINA watafute waarabu wenzao
 
Usipende kuiamini Quaran, kile ni kitabu cha uzushi tu na ubaguzi
 
Papa Francis anatofauti gani na Muhammad au Allah? Wote ni matapeli. That's why Qur an tukufu inasema Muhammad alimwomba Allah amwingize mwingizo mtakatifu. Umewahi kujiuliza ni mwingizo gani huo?
Mwingizo huo huo anao nataka Papa ukuingie...mbn Papa Francis hana tabu keshasema Africa mtaelewa tuu kidogo kidogo
 
Msomi kumbe una mchongo unajua wapelistina kwao wapi ...jikaze ufanye kikao uwaite Hamas na Netanyahu
KWAHIYO UNAKUBALI QURAN HAINA MAJIBU KUHUSU WAFILIST/WAPALESTINA?

USIZUNGUKEZUNGUKE ,NYOOSHA MAELEZO
 
KWAHIYO UNAKUBALI QURAN HAINA MAJIBU KUHUSU WAFILIST/WAPALESTINA?

USIZUNGUKEZUNGUKE ,NYOOSHA MAELEZO
Acha basi utoto au ushaimba mapambio nakula udongo nini?
QURAN haijawapa wapelistina imewapa waisraeli.....hiyo ardhi haya chukueni vyote na muwaue mbaki pekee yenu
 
Papa na UKATOLIKI NA UISLAMU NI Pete na kidole
Papa Francis ni muislam safi kabisaa yanii kapiga kwny kichwa mnapumua juu juu sahv mnajifanya wote ni walokole...na bado mpk mkae kwny mabenchi na wasenge
Si mshaanza hapa kibongo bongo eti Aggrey naye anasimama madhabahuni anawsomea neno la bwana yanii USA aanzishe ulokole wewe huku umpinge?
 
Aya hizi zinaeleza historia ya Wana wa Israel na ardhi waliyopewa ,hivo WAPALESTINA ni wavamizi
Mkuu hamis77 utaandamwa humu mpaka utoke jasho, kuna watu Kiembembuzi walitoka Oman wanakupiga jicho😏
 
Mkuu hamis77 utaandamwa humu mpaka utoke jasho, kuna watu Kiembembuzi walitoka Oman wanakupiga jicho😏
Usimtie mwenzio ujinga sio yeye wala mimi au wewe na kinachoendelea Gaza kina manufaa kwetu na kama kinachoendelea Congo ppt penye mauaji panahitaji patendeke haki haijalishi kabila wala dini..kuelimishana ili tupate compromise ya haki vitu simpo tu pale ni kwa Israel Quran imesema sawa haya wapelistina kwao wapi na yeye anajinasibu sijui msomi anakuja na kibandiko chake kakitoa Google.
Halafu ananiuliza tena si umekubali lkn Quran haijawataja wapelistina?...haya hao waliotajwa waisraeli mipaka yao ni ipi?..zamani kulikua na nchi? Kama ni wavamizi kwa nini 1948 patengwe two state?..mvamizi utampa ahadi ya kumjengea makazi mapya?...ndo nimemwambia aache utoto inawezekana napoteza mda wangu na mtoto wa 2006..wapelistina pale sio kwao sasa kwao ni wapi tokea enzi ya Mussa kapita Harun nabii Daud na mwanaye Suleman kwa nini washndw kuwarudisha kwao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…