Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

Wapalestina ni wavamizi kwa mujibu wa Quran

70. Tulifanya agano na Wana wa Israili, na tukawatumia Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio yapenda nafsi zao wengine waliwakanusha na wengine wakawauwa.
71. Na wakadhani kuwa hapatakuwa majaribio; basi wakawa vipofu na viziwi. Kisha Mwenyezi Mungu akawapokelea toba zao. Kisha tena wengi katika wao wakawa vipofu na viziwi. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyaona hayo wayatendayo.
72. Hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu! Na hali Masihi mwenyewe alisema: Enyi Wana wa Israili! Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi. Kwani anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu, hakika Mwenyezi Mungu atamharimishia Pepo, na mahala pake ni Motoni. Na walio dhulumu hawatakuwa na wa kuwanusuru.
73. Kwa hakika wamekufuru walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja. Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale wanao kufuru.....SABABU NIMEONA KICHWA CHAKO KIGUMU KUELEWA NIMEKUWEKEA SURAT AL MAIDAH ...HALAFU UTUONYESHE KAMA WANA ISRAEL WALIPEWA ARDHI QURAN NDO ILISHNDWA PIA KUONYESHA MIPAKA YAO?
UMEKUJA NA POROJO ZOTE HIZI ,NIKAJUA UNALETA AYA KUWA WAPALESTINA WANATAMBULIKA NA ALLAH

KUMBE NGONJERA,POROJO TU
 
Natumia kukujibia wewe maamuma halafu kingine , Muhammad wakati anapewa hints za Story za Quran aliyekuwa anampa ni Padre Waraq mkatoliki

Kwahiyo Kuna mambo alimsimulia ndio haya nakupa hapa

Padre Waraq alipokufa tu Wahayi ulikoma na Muhammad akataka kujitoa uhai ,unalijua hilo
44. Hakika Sisi tuliteremsha Taurati yenye uwongofu na nuru, ambayo kwayo Manabii walio nyenyekea kiislamu, na wachamngu, na wanazuoni, waliwahukumu Mayahudi; kwani walikabidhiwa kukihifadhi Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Nao wakawa ni mashahidi juu yake. Basi msiwaogope watu, bali niogopeni Mimi. Wala msibadilishe Aya zangu kwa thamani chache. Na wasio hukumu kwa aliyo teremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio makafiri..NILIKUA NAKUVUTA VUTA ILI UJAE KWNY MFUMO HIYO NI AYA YA 41 SURAT AL MAIDAH...cha kusherehesha hii surat al maidah inaelezea namna wana wa Israel walivyokufuru NITAENDELEA TENA..
 
44. Hakika Sisi tuliteremsha Taurati yenye uwongofu na nuru, ambayo kwayo Manabii walio nyenyekea kiislamu, na wachamngu, na wanazuoni, waliwahukumu Mayahudi; kwani walikabidhiwa kukihifadhi Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Nao wakawa ni mashahidi juu yake. Basi msiwaogope watu, bali niogopeni Mimi. Wala msibadilishe Aya zangu kwa thamani chache. Na wasio hukumu kwa aliyo teremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio makafiri..NILIKUA NAKUVUTA VUTA ILI UJAE KWNY MFUMO HIYO NI AYA YA 41 SURAT AL MAIDAH...cha kusherehesha hii surat al maidah inaelezea namna wana wa Israel walivyokufuru NITAENDELEA TENA..
ACHA NGONJERA

LETA AYA ARDHI WALIPEWA WAPALESTINA
 
TULIA DAWA IKUINGIE SI UMELETA MWNYW SURAT AL MAIDAH NDO HII NAKUPA VIPANDE VYAKE...NA INATUKANYA KUWAAMINI NA KUAMINI TIBA ZA MWAMPOSA WEWE SI UNAJIFANYA NI MSOMI SOMA SASA NA KAMA WALIPEWA ARDHI TUONYESHE HIYO MIPAKA BASI
51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
52. Utawaona wale wenye maradhi nyoyoni mwao wanakimbilia kwao wakisema: Tunakhofu yasitusibu mabadiliko. Huenda Mwenyezi Mungu akaleta ushindi au jambo jingine litokalo kwake wakawa wenye kujuta kwa waliyo yaficha katika nafsi zao
 
TULIA DAWA IKUINGIE SI UMELETA MWNYW SURAT AL MAIDAH NDO HII NAKUPA VIPANDE VYAKE...NA INATUKANYA KUWAAMINI NA KUAMINI TIBA ZA MWAMPOSA WEWE SI UNAJIFANYA NI MSOMI SOMA SASA NA KAMA WALIPEWA ARDHI TUONYESHE HIYO MIPAKA BASI
51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
52. Utawaona wale wenye maradhi nyoyoni mwao wanakimbilia kwao wakisema: Tunakhofu yasitusibu mabadiliko. Huenda Mwenyezi Mungu akaleta ushindi au jambo jingine litokalo kwake wakawa wenye kujuta kwa waliyo yaficha katika nafsi zao
KUMBE QURAN ILIYOKAMULIKA HAINA AYA KUHUSU WAPALESTINA 😂😂😂
 
Hata wewe utachekwa pia
Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?

Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Jibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona.

MAJIBU YA MUHAMMAD HAYA HAPA

Bukhari's Hadith 5.713:
Imesemwa na 'Aisha:
Mtume Muhammad wakati alipo kuwa anaumwa na kuchukuliwa na kifo alikuwa akisema, O Aisha, bado nasikia maumivu makali sana kutokana na chakula nilicho kula kilicho kuwa na Sumu kule Khaibar, na wakati huu nasikia kama nyongo yangu inakatwa kutokana na ile Sumu niliyo kula.

Hivi Mungu anaweza kuomba na ashindwe? Mbona Allah na Jibril maombi yao ya uponyaji kwa Muhammad hayakufanya kazi?
 
Wana mihuri ya laana ya uzushi ujue si mchezo kusema binadamu ni mungu halafu mwngn anatokea ansema ni mtoto wa mungu...na mnamchora kwa picha na kumchongea vinyago...ili watu waamini zama hizo zikapita zama zikaja Yesu anawatokea na kuongea naye
Haya sahv wamekuja na waraka wabarikiwe LGBT..watashndwa na nini hawa..?kumzushia binadamu yyt?..UZUSHI ndo laana kubwa kwao
We bogas Hadi Leo humjui MUNGU wako
 
Kwanini Allah alipo mtuma Jibril kwenda kumuombea Muhammad ugonjwa uliosababishwa kula sumu, maombi yao hayakufanya kazi?

Ibn Sa'd Ukurasa wa 265
Aisha, Mke wa Mtume Muhammad alikuwa akisema, "Wakati Nabii wa Allah alipo kuwa anaumwa, Jibril alikuwa anamwombea kwa Allah kwa kusema haya "Katika Jina la Allah ambalo litakuponya kutoka kila magonjwa na maumivu na kutoka kila wenye ubaya nawe na kila wanakuombea ubaya, utapona.

MAJIBU YA MUHAMMAD HAYA HAPA

Bukhari's Hadith 5.713:
Imesemwa na 'Aisha:
Mtume Muhammad wakati alipo kuwa anaumwa na kuchukuliwa na kifo alikuwa akisema, O Aisha, bado nasikia maumivu makali sana kutokana na chakula nilicho kula kilicho kuwa na Sumu kule Khaibar, na wakati huu nasikia kama nyongo yangu inakatwa kutokana na ile Sumu niliyo kula.

Hivi Mungu anaweza kuomba na ashindwe? Mbona Allah na Jibril maombi yao ya uponyaji kwa Muhammad hayakufanya kazi?
Kwani hakupona?
 
KUMBE QURAN ILIYOKAMULIKA HAINA AYA KUHUSU WAPALESTINA 😂😂😂
Si umeleta mwnyw surat Al maidah...wewe si msomi kwa nini ushndwe kujua wavamizi wa Palestine kwao ni wapi na ilhali uliwashinda mashekhe?(78.)Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka.
 
Si umeleta mwnyw surat Al maidah...wewe si msomi kwa nini ushndwe kujua wavamizi wa Palestine kwao ni wapi na ilhali uliwashinda mashekhe?(78.)Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka.
Eti waliasi,kwahiyo Quran yako haiwatambui WAPALESTINA?
 
Kama haijasema kinachowafanya mpalilie pale Jerusalem ni kipi?
Sisi tunataka haki kama pale sio kwao watuonyeshe kwao ni wapi..(64.) Na Mayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndiyo iliyo fumba, na wamelaaniwa kwa sababu ya waliyo yasema. Bali mikono yake iwazi. Hutoa apendavyo. Kwa yakini yaliyo teremshwa kwako kutoka kwa Mola wako Mlezi yatawazidisha wengi katika wao uasi na kufuru. Na Sisi tumewatilia uadui na chuki baina yao mpaka Siku ya Kiyama. Kila mara wanapo washa moto wa vita, Mwenyezi Mungu anauzima. Na wanajitahidi kuleta uharibifu katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu hawapendi waharibifu...HAYA NENDA KATAFUTE SURA NYNGN KWNY QURAN...eti niliwashinda mashekhe Uzushi tuu uliowajaa kwa laana ya ya kumuita Issa ibn Maryamu ni mungu
 
Ni Yesu aliyeongea na Papa Francis lazima LGBT wabarikiwe
UPAPA NI MOJA YA UANZILISHI WA DINI YA UISLAMU,HATA MISIKITINI PAPA ANAINGIA BILA VIATU, MIKATABA MINGI AMESAINI NA WAISLAMU

WAISLAM WAMERUHUSIWA KUINGIA TUPU ZA MBELE NA NYUMA

KUMBE ALLAH KAWARUHUSU WAISLAM WAWALE "KONDE LA NYUMA" WAKE ZAO?

HUU NI MSIBA MKUBWA SANA

AL-BAQARA 223:2
Wake zenu ni kama konde zenu, basi ZIENDEENI KONDE ZENU MPENDAVYO, lakini jitangulizieni kheri nafsi zenu, na mcheni mnyazi mungu, na jueni hakika ninyi mtakutana nae,na wape bishara njema.

TAFSIRI YA al-baqara 223:2:-
Imepokewa na naafii, anasema "aliniuliza abdullah bin umar bin khattab; "unajua aya hii(223,sura ya 2) ilishuka kwaajili gani? NIKAJIBU, La,SIJUWI, akasema: IMESHUKA KWAAJILI YA KUWAINGILIA WANAWAKE KATIKA TUPU ZAO ZA NYUMA. (Addurul manthur J.1 uk 474, fat'hul baary J.8 uk 38-39)

Msiba mkubwa huu kwa waislam
 
Sisi tunataka haki kama pale sio kwao watuonyeshe kwao ni wapi..(64.) Na Mayahudi walisema: Mkono wa Mwenyezi Mungu umefumba. Mikono yao ndiyo iliyo fumba, na wamelaaniwa kwa sababu ya waliyo yasema. Bali mikono yake iwazi. Hutoa apendavyo. Kwa yakini yaliyo teremshwa kwako kutoka kwa Mola wako Mlezi yatawazidisha wengi katika wao uasi na kufuru. Na Sisi tumewatilia uadui na chuki baina yao mpaka Siku ya Kiyama. Kila mara wanapo washa moto wa vita, Mwenyezi Mungu anauzima. Na wanajitahidi kuleta uharibifu katika ardhi. Na Mwenyezi Mungu hawapendi waharibifu...HAYA NENDA KATAFUTE SURA NYNGN KWNY QURAN...eti niliwashinda mashekhe Uzushi tuu uliowajaa kwa laana ya ya kumuita Issa ibn Maryamu ni mungu
HIZI ZOTE NI POROJO ,BILA KULETA AYA WAPALESTINA WAKITAMBULIKA

HAKUNA ATAKAYESOMA HIZI POROJO
 
Mm nimekuwa huko nimesoma madrasa, naijua Quran vzr,

Naongea ninachokijua ,Mapepo na Majini hayatoki kwa jina la Allah
INAKUJIBU WEWE SURAT AL MAIDAH AYA (54.) Enyi mlio amini! Atakaye iacha miongoni mwenu Dini yake, basi Mwenyezi Mungu atakuja leta watu anao wapenda nao wanampenda, wanyenyekevu kwa Waumini na wenye nguvu juu ya makafiri, wanapigania Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wala hawaogopi lawama ya anaye laumu. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mkunjufu na Mwenye kujua...
 
INAKUJIBU WEWE SURAT AL MAIDAH AYA (54.) Enyi mlio amini! Atakaye iacha miongoni mwenu Dini yake, basi Mwenyezi Mungu atakuja leta watu anao wapenda nao wanampenda, wanyenyekevu kwa Waumini na wenye nguvu juu ya makafiri, wanapigania Jihadi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wala hawaogopi lawama ya anaye laumu. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mkunjufu na Mwenye kujua...
Bukhari's Hadith 5.713:
Imesemwa na 'Aisha:
Mtume Muhammad wakati alipo kuwa anaumwa na kuchukuliwa na kifo alikuwa akisema, O Aisha, bado nasikia maumivu makali sana kutokana na chakula nilicho kula kilicho kuwa na Sumu kule Khaibar, na wakati huu nasikia kama nyongo yangu inakatwa kutokana na ile Sumu niliyo kula.

Hivi Mungu anaweza kuomba na ashindwe? Mbona Allah na Jibril maombi yao ya uponyaji kwa Muhammad hayakufanya kazi?
 
HII DINI IMEJAA UONGO SANA

ETI MITUME NA MANABII MARA WALIKUWA WAPALESTINA AU WAFILIST

HATA HISTORIA TU INAWAKATAA

WANAKWAMBIA DAUDI ALIKUWA MPALESTINA(MFILISTI)😂😂😂

WANAWAKATAA NDUGU ZAO KINA GOLIATH,WANAJIPENDEKEZA KWA WAYAHUDI
 
Back
Top Bottom