Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watamaliza mabikra wote huko, imagine hao wakichukua kila mmoja 72 😂😂😂🤣🤣.Nakuunga mkono chief, hao magaidi wa pepo ya Allah watakuwa wamejifunza sasa
Nafsi zinamiminikia kuzimu bila neema ya wokovu. Inasikitisha sana.Shetani ni mbaya amekunywa damu ya wapalestina kwa ujinga wa kundi dogo la hamas.
Unajua bhana! Kuna ahadi zingine mheshimiwa allah alizitoa za kutuumiza sisi wanaume, kulala mwanamke 1 kisawasawa! Ukitoka hapo mwili unausikia kabisa kwamba, kweli umetoka kwenye shughuri pevu, sasa huyo ni mmoja! 72 Je?🤣🤣Watamaliza mabikra wote huko, imagine hao wakichukua kila mmoja 72 😂😂😂🤣🤣.
Unajua bhana! Kuna ahadi zingine mheshimiwa allah alizitoa za kutuumiza sisi wanaume, kulala mwanamke kisawasawa! Ukitoka hapo mwili unausikia kabisa kwamba, kweli umetoka kwenye shughuri pevu, sasa huyo ni mmoja! 72 Je?🤣🤣Watamaliza mabikra wote huko, imagine hao wakichukua kila mmoja 72 😂😂😂🤣🤣.
Hakuna aliyewatelekeza kwa sababu hakuna aliyekua nao.Wamejiumbia gharika lao kwa mikono yao wenyewe.
Chanzo cha huo mzozo hakikuanza October 7, ila mgogoro una miaka takribani 75.Kwani dunia ndio iliwatuma kuwachokoza wayahudi october 7?
Daaah so sad, Vipi kuhusu harakati za HOUTH, Hatuwasikii tenaWakati majasiliano ya kusitisha vita yakidikiriwa huko Qatar, idadi ya Wapalestina waliokufa ni zaidi ya 40,000 na waliojeruhiwa ni zaidi ya 92,000
View attachment 3071260
Huku idadi ya watoto ikiwa ni zaidi ya 16,000
View attachment 3071261
Hivi vita visitishwe tu sasa
tafiti tz yaonyesha kila mwaka kuna wagonjwa wapya 50,000 wa kansa na figo.Wakati majasiliano ya kusitisha vita yakidikiriwa huko Qatar, idadi ya Wapalestina waliokufa ni zaidi ya 40,000 na waliojeruhiwa ni zaidi ya 92,000
View attachment 3071260
Huku idadi ya watoto ikiwa ni zaidi ya 16,000
View attachment 3071261
Hivi vita visitishwe tu sasa
Wakati majasiliano ya kusitisha vita yakidikiriwa huko Qatar, idadi ya Wapalestina waliokufa ni zaidi ya 40,000 na waliojeruhiwa ni zaidi ya 92,000
View attachment 3071260
Huku idadi ya watoto ikiwa ni zaidi ya 16,000
View attachment 3071261
Hivi vita visitishwe tu sasa
Waisrael waliotekwa na kuuawa wana hatia gani?Msiseme hivyo ndugu zangu..kumbukeni wengi hawana hatia hapo mkuu
RitzWamepqta kipigo cha mbwa koko
Ahadi ni kuwa mwili utafungwa "busta" unapiga mzigo mpaka utoe harufu ya tairi linaungua, na bado nguvu zinakuwepo.Unajua bhana! Kuna ahadi zingine mheshimiwa allah alizitoa za kutuumiza sisi wanaume, kulala mwanamke 1 kisawasawa! Ukitoka hapo mwili unausikia kabisa kwamba, kweli umetoka kwenye shughuri pevu, sasa huyo ni mmoja! 72 Je?🤣🤣
Habari inakuwa ya kipumbavu na kutokuzingatiwa maana imejaa visingizio... Tumesikia Hamas wameua raia wao kibao,Wameua Wazee wa jadi waliotaka kuongoza baadhi ya maeneo yaliyokosa serikali, wameua raia wao walikuwa wanawazuia wasiibe misaada na kuipeleka kwenye mahandaki, Makombora yao yalikosa shabaha yakaua raia wao.. hayo yote hawaandiki wanasema wameshambuliwa na Israel.. na hiyo Idadi mara kibao wameshushuliwa wakaishia kupunguza idadi ya vifo kwa mdomo ila hesabu wakaendelea nazo hadi imefika 40 TWakati majasiliano ya kusitisha vita yakidikiriwa huko Qatar, idadi ya Wapalestina waliokufa ni zaidi ya 40,000 na waliojeruhiwa ni zaidi ya 92,000
View attachment 3071260
Huku idadi ya watoto ikiwa ni zaidi ya 16,000
View attachment 3071261
Hivi vita visitishwe tu sasa
Kwa hiyo october ilikuwa ni nini hamas walifanya je ulitaka israel ifanyaje lile tukioChanzo cha huo mzozo hakikuanza October 7, ila mgogoro una miaka takribani 75.
Houthi waliteremshiwa kitu kizito wakapotea
Houth walipigwa kwenye mshono kiherehere cha kurusha makombora na vidrone vyao kwishaDaaah so sad, Vipi kuhusu harakati za HOUTH, Hatuwasikii tena
October 7 ni muendelezo tu wa mzozo wa miongo 7.Kwa hiyo october ilikuwa ni nini hamas walifanya je ulitaka israel ifanyaje lile tukio