Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Kuna mjadala mkali Sana ishu ya mikopo ya Nchi ,Kwa makusudi au Kwa Nia hovu wapambe wanatufuta namna ya kumchonganisha Ndugai na Rais
Binafsi nilimsikiliz Ndugai wala hakua anamkosoa Rais Samia ,Bali alikua anatoa hamasa Kwa jamii yake umuhimu wa Tozo (ili wengi wamelihaacha Kwa Nia mbaya Yao)
Ndugai alikua anawaambia Wananchi wasinung'unike katika Tozo ,kwasababu mikopo inaumiza si Kwa ubaya Ila machawa wamegeuka
Binafsi nilimsikiliz Ndugai wala hakua anamkosoa Rais Samia ,Bali alikua anatoa hamasa Kwa jamii yake umuhimu wa Tozo (ili wengi wamelihaacha Kwa Nia mbaya Yao)
Ndugai alikua anawaambia Wananchi wasinung'unike katika Tozo ,kwasababu mikopo inaumiza si Kwa ubaya Ila machawa wamegeuka