ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sana,mama hawezi Leo majitu mavivu in the name of wanyonge 😂😂Mama anaupiga mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana,mama hawezi Leo majitu mavivu in the name of wanyonge 😂😂Mama anaupiga mwingi
Hilo eneo kapewa mwarabu wa 4 season kupitia mradi wa PPP hadi kufikia 2025 watu wataelewa.Wahame kupisha ujenzi Mpya Kwa Ajili ya fursa ya Afcon.
Wanang'ang'ania si wakajenge za kwako? 😆😆
Safi ,wewe ulitaka apewe nani?Hilo eneo kapewa mwarabu wa 4 season kupitia mradi wa PPP hadi kufikia 2025 watu wataelewa.
AICC wenyewe wanaweza.Safi ,wewe ulitaka apewe nani?
Nyumba ya chumba kimoja cha kulala,sebule,choo & bafu ni tsh 300,000 VAT inclusive.Una panga town kwa tzsh 50000 ata me nisinge hama
Kama wanaweza kipi.kimewashinda kuweza over years?AICC wenyewe wanaweza.
Machawa ni wengi kuliko tunavyodhania!Mama anaupiga mwingi
Ulitaka atoke Ikulu aende wapi mkuu?Assah Mwambene kutoka Ikulu enzi ya JK mpaka AICC, kweli maisha ni kama gwaride
Wakikusikia wahanga, kura ya mtaa wao Nov. 27 itakuwa matataniSana,mama hawezi Leo majitu mavivu in the name of wanyonge 😂😂
Bosi wewe unaona hiyo ni kitu ya kawaida kweli?! Tena kipindi hiki Cha uchaguzi?! Sasa kwanini tusishangae kwa msemo wao huo maarufu?Machawa ni wengi kuliko tunavyodhania!
Kuupiga mwingi kunahusiana nini na watu kufurushwa pangoni?