Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu huyu atakuwa wa ugweno pale mriti maeneo ya kifula[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wakiongozwa na mshana jr hii ni hatari kwa usalama wenu barabarani heheheheee.
Wapare ni watani zangu hivo tucheke wote tuu ila mna tabasamu zurii. .... kama la huyu kaka kwenye picha heheheh.
View attachment 403772
Wakedhije wa kaka.
Church sadaka ni makweme.
Nilikua nazitafuna kweme kama mbili hivi nikiwa naelekea church, zilozobaki nakabidhi madhabahuni.
Mamaaa kumbe ww mpare unajua usangiHahahahahahahhahaahha hehehehehehehhee yaani wewe umenifanya nicheke huku nagumia maana niko na watu hapa kwenye mazungumzo yasiyoisha ndo nikaona niingie JF walau nichangamshe macho sasa wewe utanifanya nicheke kwanguvu watu wote wanigeukie wakidhani nawacheka na vikinizidia naamka kwenda kuchekea nje hahahahahahahahahahaaaa.
Yaani nimevuta taswira uko na kifuko sijui kikapu cha kweme halafu njiani unasimama unazibanjua kweme mbili na kuzitafuna kisha uendelee na safari ya kanisani looh. Halafu wakati wa mnada sasa utasikia......
Mtaa wa lomwe nipeni bei mkuu mmoja atasema vikuu viwili hapo ndo mwisho haipandi tena hehehehe.
Kumbe nawe n mwathuu, u mwathuu wahi?
Hapo kwenye kichwa cha habari naona siku hizi ki maarufu sanaKibwagizo kihii...
[emoji51] [emoji51] masumbeniHahahahahahahhahaahha hehehehehehehhee yaani wewe umenifanya nicheke huku nagumia maana niko na watu hapa kwenye mazungumzo yasiyoisha ndo nikaona niingie JF walau nichangamshe macho sasa wewe utanifanya nicheke kwanguvu watu wote wanigeukie wakidhani nawacheka na vikinizidia naamka kwenda kuchekea nje hahahahahahahahahahaaaa.
Yaani nimevuta taswira uko na kifuko sijui kikapu cha kweme halafu njiani unasimama unazibanjua kweme mbili na kuzitafuna kisha uendelee na safari ya kanisani looh. Halafu wakati wa mnada sasa utasikia......
Mtaa wa lomwe nipeni bei mkuu mmoja atasema vikuu viwili hapo ndo mwisho haipandi tena hehehehe.
Kumbe nawe n mwathuu, u mwathuu wahi?
Lomwe kwa mwalimu KangeroHaiyee imi thi mwathuu ila namanya chathuu kidori. Kasinde ni mnyamwezi na wapare ni watani zake.
Uthangi napajua nlifika miaka hiyoo shule ya Shighatini na Lomwe.