EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Wacha watwaliwe tu na ziraili maisha chini ya awamu ya sita hayana dhamani kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mkuu hii mkasi juu mkasi chini huwa wanamaana gani?Fiat hiyo
Mkasi juu mkasi chini
Moja ya gari konki legend mpk leo
Ova
Gia hizo high na lowHivi mkuu hii mkasi juu mkasi chini huwa wanamaana gani?
Mkasi juu mkasi chini acha kabisa kule longijave arusha kama unaenda namanga nililitupa baada ya kuona linataka kunipeleka kwa muumba nimeshona nguzo nimetoa forest (nyuma ya mlima meru) mbona nilikula hapo mtu 3[emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1895253
Hawa jamaa siujui ni ujinga, ujasiri au kutegemea bahati kwa kuweka maisha yao rehani.
Wape neno!
Sawa dereva wangu 😀Si ajabu hizo tairi mbili za nyuma ndo zimewafanya wasiione hatari.
Hapo ukiwaambia wanakuona mjuaji au unajifanya wa kishua.View attachment 1895253
Hawa jamaa siujui ni ujinga, ujasiri au kutegemea bahati kwa kuweka maisha yao rehani.
Wape neno!