Infiltrator
Senior Member
- May 13, 2017
- 126
- 227
- Thread starter
-
- #81
Yeye kaapa hataolewa na mpaka hivi sasa kwao hazungumzi na yeyote yulee ye ni kimya tu....Huyo binti atakuwa kichaa na si mzuri kwako kuoa. Ni kweli mnapendana kama usemavyo, kikwazo kwenu ni wazazi wake wasiokutaka, sasa kwanini binti akuwekee gundu wewe? Yaani hataki wewe uoe ila uwe single tu maisha yako yote, je yeye akiolewa na mtu mwingine aliyekulia Pemba bado atataka wewe uwe single? Tatizo la nyie kutokuoana si wewe ila ni wazazi wake, kwani halijuwi hili?
Sana nimeishi naoUmewahi kuishi pemba? au umewahi kukaa na jamii za kipemba?
Una tetea uwongo hao wapemba wanao sema bora mlevi wa pemba kuliko shekhe wa bara kwanza wanatuita machogo na hawataki watoto wao wazae vichwa kama jiwe utaozeshwa vipi ubaguzi kwao upo kwenye damu hata uende na utaratibu utapigwa tu.
Sikia mkuu mimi nimezaliwa pemba mchanga mdogo tamaduni zote nazifahamu na elimu yangu ya primary nimesoma kule pia secondary form 1 mpaka 2 nimesoma kule baada ya hapo ndo nikahamia huku bara hivyo usinifundishe chochote kuhusu upemba ....sisi ni wabaguzi sana tena zaidi ya sana na kama huamini nikwambialo basi nakupa siku 4 tu ufanye utafiti then ulete mrejesho hapa jukwaanimin92 umewahi kuishi Pemba? mi nimewahi kushi kule Zaidi ya miaka 8, nawajua vizuri Zaidi nadhani. Wapo mmoja mmoja wenye tabia hizo, lakini usisahau kuwa wale wame colonised na waarabu, Oman tafauti na huku Bara. wana misimamo yao na views zao. ukijaribu kwenda tofauti na maono yao ndio yatakufika hayo uliyoyasema na utaanza Judgments kama hizo. Hata sisi tulivyohamia kule kutoka Bara kwa miezi ya mwanzo yalitukuta hayo, wanaishi kwa misingi ya dini yao inavyotaka sasa wewe ukienda against ndio wanakutenga, Nimewahi kutembelea German na nikazuiwa kuingia duka flani kubwa sababu mimi ni Black. niliambiwa "nein schwarzes" nikarudi nilikotoka haraka, na tokea hapo sijawahi hata siku moja kuwa jurge Germans kama ni racist, tabia mbaya haiakisi na jamii nzima. Nimeishi nawao kwao na hata huku Bara ni watu wazuri tu ukilinganisha na wengi mradi uchunge mila zao tu
hahaha @Agyjay tena[emoji23]Pole mkuu..mpe mimba wenyewe watkuozeaha[emoji23][emoji23][emoji23]
Sababu ya kukulia bara ni nyepesi mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpe mimba Kwanza. Halafu mambo Mengine yataendelea. Tatizo wazanzibar mna roho ya uchoyo.wanajukwaa salamu kwenu
Mimi ni kijana wa kipemba nimependana na kijana mwenzangu binti wa kipemba nimeenda kwao nimemposa ila leo nimepata majibu kuwa nimekataliwa kwa sababu sijakulia pemba. Kibaya zaidi binti kaapa kuwa asipoolewa na mimi basi kifo ndio kheri yake na mda si mrefu alikuja home kwetu na amenambia akisikia nimeoa basi atahakikisha siishi kwa amani maisha yangu yote...
Binti nampenda na yeye ananipenda zaidi ya sana na hata sijui lakufanya tafadhali nishaurini
UPDATE;
Wazazi wa binti wamenipigia simu wananishutumu kwao amani imetoweka sababu mimi na wanahisi huenda nimemloga binti yao ili awe kichaa kwa ajili yangu na mwishowe baba mzazi wa binti ameniuliza mahusiano yenu mlianza lini nimemjibu tangu tupo form 1 2009.....
Duuuuh mkuu mchangamdogo kwa babu yangu hapo napafahamu saaanaSikia mkuu mimi nimezaliwa pemba mchanga mdogo tamaduni zote nazifahamu na elimu yangu ya primary nimesoma kule pia secondary form 1 mpaka 2 nimesoma kule baada ya hapo ndo nikahamia huku bara hivyo usinifundishe chochote kuhusu upemba ....sisi ni wabaguzi sana tena zaidi ya sana na kama huamini nikwambialo basi nakupa siku 4 tu ufanye utafiti then ulete mrejesho hapa jukwaani
[emoji23][emoji23][emoji23] radha ya mkate ilihamia kwenye udi,na radha ya udi ilihamia kwenye mkate.. kwa wale wasomi wa chemistry wanaita mixture!!Na uchawi juuu, kila saa kuchoma udi. Kuna duka la mpemba nilinunua makate nikashindwa kula kisa hayo mause.nge wanayochoma na majini yao
[emoji23][emoji23][emoji23]soma hiyooooo!!Anacheza na wapemba mimi mpaka niliikimbia Tanzania, wapumbavu wana ushirikina wa kijinga sana.
Huyo mwingine nae ni mpemba mwenzenu au?Mkuu mimi nilishatafuta binti mwingine huyu binti yao alipogundua akamfata huyo mchumba wangu mpya akampa vitisho lastly binti mpya akavunja relation na 50000 yangu ya barua wakairudisha
Si wanasema uchawi hauvuki bahari au ni uongo?Kuna kitu kinaitwa Juju kikitumwa ni ndani ya sekunde kadhaa kinakua kimeshamfikia muhusika
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna wizi huko!!?[emoji848][emoji848][emoji848]Kwahio km wanateswa na jeshi la Bara ndio wachukie watu wote? Mm siwahukumu wapemba kwa Hadithi za kuambiwa, ninawajua kiundani.. Wapemba wapo very Judgemental kwa mtu yyte ambae hajakulia Pemba! The moment ukiwaambia unatokea Bara wanakuona hufai na MUHUNI tu kisa umekulia nje ya Pemba[emoji16] hata kwenye kuowa na kuolewa wanaprefer Partner ambae ana asili ya Pemba japo kwa mzazi mmoja. Wapo ambao Wamejaa majungu na Husda wenyewe kwa wenyewe kutwa kuoneana choyo na wapo ambao wanapendana na wameshikamana. wana mazuri yao pia, ni watu wakarimu na waaminifu. Pemba ni sehem iliotulia sana, hakuna fujo ya aina yyte, wala hakuna wizi kule,
Well said,kuna jamaa yupo kwenye group la wazanzibar,huwa anawaambia wazanzibar ni wanafki na hawaijui dini zaid kuifanya kama mazoea,basi huwa wanatokwa na mapozi balaaPemba kuna dini ya mazoea na si dini yakujifunza [taaluma], pamoja nakufanzia kazi yale ulojifunza
Pole sana ,ushauri wangu never narudia never give up a fight for love ,ungeniambia mchumba kapata mtu hapo ningekwambia hujafika kigoma tu ukikimbilia Congo,ila Huyu mwanamke mwema ,pambana!Wapemba sasa twabaguana wenyewe kwa wenyewe looh....Mimi kuanzia leo najitoa upembani mie mbara from now