Wapemba Mungu anatuona, nakataliwa kuoa kisa nimekulia Bara

Yeye kaapa hataolewa na mpaka hivi sasa kwao hazungumzi na yeyote yulee ye ni kimya tu....
 
min92 umewahi kuishi Pemba? mi nimewahi kushi kule Zaidi ya miaka 8, nawajua vizuri Zaidi nadhani. Wapo mmoja mmoja wenye tabia hizo, lakini usisahau kuwa wale wame colonised na waarabu, Oman tafauti na huku Bara. wana misimamo yao na views zao. ukijaribu kwenda tofauti na maono yao ndio yatakufika hayo uliyoyasema na utaanza Judgments kama hizo. Hata sisi tulivyohamia kule kutoka Bara kwa miezi ya mwanzo yalitukuta hayo, wanaishi kwa misingi ya dini yao inavyotaka sasa wewe ukienda against ndio wanakutenga, Nimewahi kutembelea German na nikazuiwa kuingia duka flani kubwa sababu mimi ni Black. niliambiwa "nein schwarzes" nikarudi nilikotoka haraka, na tokea hapo sijawahi hata siku moja kuwa jurge Germans kama ni racist, tabia mbaya haiakisi na jamii nzima. Nimeishi nawao kwao na hata huku Bara ni watu wazuri tu ukilinganisha na wengi mradi uchunge mila zao tu
 
Una tetea uwongo hao wapemba wanao sema bora mlevi wa pemba kuliko shekhe wa bara kwanza wanatuita machogo na hawataki watoto wao wazae vichwa kama jiwe utaozeshwa vipi ubaguzi kwao upo kwenye damu hata uende na utaratibu utapigwa tu.

Wapo baadhi wenye tabia hizo, nawajua wapemba wengi walioolewa na Wa huku. Jirani yangu kule zenj mtoto wake wa kiume aliowa mfanyakazi wao wa ndani kutoka Morogoro, wakasafiri mpaka Moro vijijini kupeleka posa, kutokana na ukali wa Maisha kule Kijijini, jirani yangu alituma nauli wazazi wa binti wakasafiri kutoka Moro vijijini hadi Zanzibar, wakapokelewa ka furaha na harusi ikawa ya kufana sana sana. Kariakoo nawajua wapemba watatu wenye maduka makubwa wameoa wachaga, na wanafuraha na ndoa zao. Nimeambiwa yupo waziri mmoja Bara juzi tu hapa ameenda kuongeza mke wa pili Pemba na amekodi ndege nzima yeye na watu wake , sio vizuri ku generalized.
 
Sikia mkuu mimi nimezaliwa pemba mchanga mdogo tamaduni zote nazifahamu na elimu yangu ya primary nimesoma kule pia secondary form 1 mpaka 2 nimesoma kule baada ya hapo ndo nikahamia huku bara hivyo usinifundishe chochote kuhusu upemba ....sisi ni wabaguzi sana tena zaidi ya sana na kama huamini nikwambialo basi nakupa siku 4 tu ufanye utafiti then ulete mrejesho hapa jukwaani
 
Sasa hivi imefikia ati ni haramu kwa mpemba wa chama cha CUF kumuoa mpemba wa CCM,Mpemba kuolewa na muunguja noo...
NB; Si wote wapo hiyvo ila wengi wao wapo hivyo
 
Mpe mimba Kwanza. Halafu mambo Mengine yataendelea. Tatizo wazanzibar mna roho ya uchoyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuh mkuu mchangamdogo kwa babu yangu hapo napafahamu saaana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na uchawi juuu, kila saa kuchoma udi. Kuna duka la mpemba nilinunua makate nikashindwa kula kisa hayo mause.nge wanayochoma na majini yao
[emoji23][emoji23][emoji23] radha ya mkate ilihamia kwenye udi,na radha ya udi ilihamia kwenye mkate.. kwa wale wasomi wa chemistry wanaita mixture!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachotakiwa kufanya nenda kwa kadhi wa sehemu unayoishi na huyo bint...muelezee circumstance nzima...alafu watakupa cha kufanya au wanaweza kukuozesha kabisa...

Hao wazazi hawana dini...wapumbavu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna wizi huko!!?[emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapemba sasa twabaguana wenyewe kwa wenyewe looh....Mimi kuanzia leo najitoa upembani mie mbara from now
Pole sana ,ushauri wangu never narudia never give up a fight for love ,ungeniambia mchumba kapata mtu hapo ningekwambia hujafika kigoma tu ukikimbilia Congo,ila Huyu mwanamke mwema ,pambana!
Shetani sio mjinga anaona balaa la mkiwa pamoja cha kufanya kashitaki kwa watu wazima wa huko Pemba watizame misingi ya dini ya kiislamu isiyo na ubaguzi .
Usikubali! Ikigoma mzalishe kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…