ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu ni wazee wa sufuli...Hawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ndo anachosifia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]halafu ni wazee wa sufuli...
Nikweli mkuu,kuna mmoja alinisaidia sana kipindi cha nyuma,Anakukopesha hata mwaka mzima hana habari,hakuulizi,yeye anasema usipomlipa duniani,utamlipa akhera.Hawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.
Nilinunua Mkate kwa mpemba nil8kuta sijui unanuka ma Udi sijui mauseng*e gani nikawapa kuku wakala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na ndo anachosifia
Mimi ningeula tuu nisinge jali
We mkali hadi harufu za majini unazjua!!Unanuka mi harufu ya majini
We mkali hadi harufu za majini unazjua!!
Biashara gani unayofanya na wapemba mkuu?Hawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.
daah kwa kwel nmecheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilinunua Mkate kwa mpemba nil8kuta sijui unanuka ma Udi sijui mauseng*e gani nikawapa kuku wakala
Ni watu poa kweli hawa jamaa sema mambo ya sifuri yanawaharibia sana😀😀😀Hawa majamaa Wana roho nzuri Sana kwanza katika biashara wanauza bidhaa zao kwa Bei nafuu kuliko Wafanyabiashara wengine
Kingine wapemba Ni wakarimu Sana wanapenda ufanikiwe Wana ushauri mzuri Sana na hawana tamaa Wala roho mbaya
Kingine wanaishi maisha simple Sana wengi wao Ni watu wa dini wachaMungu hawanywi pombe.
Ishi nao vizuri utafaidika Sana usijaribu kumwibia mpemba kwani yatakukuta.