Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nitaiweka nikitoka kwenye ukiwa unaonikimba.At least ungeweka hata hii inayomsifu mama kwa kulinda wanae wasiloe
Sidhani kama wewe umeshawahi kuwa na upweke kama wangu...Upweke ni kote mkuu kunanyesha...
So ni sehemu ya maisha kwa sasa
Nataka nioe sioni mke anifaaye, sijui nifanyeje.Hakuna,komaa...ni bora ukiwa wa upweke kwenye usingle kuliko ukiwa wa kwenye relationship...u will die I tell you bro
Duh! mkuu huyo mtu wa kumkojolea chap bila kudeti naye nitampata wapi zaidi ya kwenye madanguroNimepita kote huko mkuu....usiendekeze mapenzi...wewe tafuta wa kumkojolea chap then katafute hela... imeisha hiyo 🤒
Ikoje🤣Mi ndoa nimepitia hivyo siwezi kukushauri kuoa....labda uulize wanaume wenzio mkuu...
Huyohuyo unaedate nae,siku akikubali game mmwagie sepa... kikubwa usiache mimba.Aliyemwambia amanue before marriage nani..Duh! mkuu huyo mtu wa kumkojolea chap bila kudeti naye nitampata wapi zaidi ya kwenye madanguro
Hii ni ngori.Huyohuyo unaedate nae,siku akikubali game mmwagie sepa... kikubwa usiache mimba.Aliyemwambia amanue before marriage nani..
Kama huna roho ya kuchezea mabinti bas mchukue mazima
Halafu ni natafuta watu wenye uzoefu na ndoa na sijui nitawapata wapi.Yangu haikumake...labda wakushauri ambao bado wapo nazo
Umeongea kinyonge kwelisina pa kwenda npo mimi😂😂
Uwa zuri kweli hili..
Jambo la heriNiko poa kabisa 🤞
Daaah sasa ndo useme ukwelUmeongea kinyonge kweli