Ua zuri sana...linapatikana wapi hili?
Printed! 😎
Ukizidiwa unasema tu. Sote watanzaniaDaaah sasa ndo useme ukweli
Wow!😊
Ushakula nauli za watu afu umevaa mask si ndio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ty bhana
🫶🫶🫶💓💓🧡✌️
wacha izo bwan 😂Ukizidiwa unasema tu. Sote watanzania
🤣🤣🤣Nipo mbeya jamani...hiyo ni mbeya sehemu gani mkuuMungu ametupa kila kitu ila watu wenyewe sasa
Huwezi amini hapa ni Mbeya
Natamani kukimbizana tu na mpendwa wangu hapo tukagaragara weeeee
View attachment 3171347View attachment 3171348View attachment 3171349
Shamba lote hilo 😄 🤣Si mtaharibu maua sasa,mgaregare Tena🤣🤣