Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Babu naomba Mjukuu wako wa kike mmoja, ðŸ¤ðŸ¤Imenikumbusha mwaka 47, wakati wa uchumba wetu na Bibi yenu niliwahi kumnunulia zawadi ya ua la namna hiyo kutoka Nairobi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu naomba Mjukuu wako wa kike mmoja, ðŸ¤ðŸ¤Imenikumbusha mwaka 47, wakati wa uchumba wetu na Bibi yenu niliwahi kumnunulia zawadi ya ua la namna hiyo kutoka Nairobi
Hakika pesa kwanza Babu🤣🤣🤣Nashukuru kwa zawadi hii ya ua Mjukuu
Imenikumbusha mwaka 47, wakati wa uchumba wetu na Bibi yenu niliwahi kumnunulia zawadi ya ua la namna hiyo kutoka Nairobi
Amelitunza hilo ua hadi sasa, kuna wakati mkinuniana ndani basi unaenda kulichukua kabatini na kumuwekea kitandani kama ishara ya msamaha na upendo
Siku hizi hamtaki maua tena, mnasema pesa kwanza maua wapewe nyuki 🥲🙌
Maeneo nipendayo, yaani akili inapata utulivu saaafi kabisa.Kabisa wengi wapo hivyo ila najishangaa ni mimi sipo hivyo ila napenda maua mno ,nikikaa sehemu imezungukwa na maua na miti midogo ya kivuli na maliza kreti mbili za bia🤣🤣🤣
Mimi pia, thanks so much love
Hili ni ua gani? 😂Napenda sana maua,mje nayo bas macho yafurahi na moyo uburudike.
Hili ni kwa ajili ya jf members wote🧡
Ninao wakutosha tu, ukiwa tayari uje Kijijini huku ufanye kama umekuja kusalimiaBabu naomba Mjukuu wako wa kike mmoja, ðŸ¤ðŸ¤
. Ndani ya financial services, naona hili sharti naelekea kupokonywa sasa 😴😴😴😴.Usijali ntalifanya crop top tumbo nje😀😀
😂😂😂Hili ua limekaa kimtego mtego😂😂 linatamanishaHilo la juu,sijui linaitwa ua tembele🤦...
Kwani najua cute
Nitakuongezea na bange 🌱🌱🌱, ili uchangamke zaidi 😋😋Ninao wakutosha tu, ukiwa tayari uje Kijijini huku ufanye kama umekuja kusalimia
Nitakutambulisha mmoja baada ya mwingine
Ukiwa umeniletea zawadi ya Kiko, basi huenda nikakupa punguzo la mahari 🤗
Ooh napenda sana maua, thank you mkuu 🥰
Hahaha............... kwahiyo maua wapewe nyuki sio 😅Hakika pesa kwanza Babu🤣🤣🤣
For you Under-cover😂😂