HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,567
Nimeipenda picha na ujumbe uliomo ndani yake, ingawa nimeumia moyoni. I feel very sorry kwa waafrika wenzangu walio ktk hali hii ya mateso.
Mungu atusaidie
Mungu atusaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The Return of MJ....
Karibu sana maana ulipotea watu tukashikwa na mashaka labda shem kachukua P/W akabadilisha ukashindwa ku-log in lol.....
https://www.jamiiforums.com/mahusia...-kumbe-mkishaolewaga-ndo-mnakuwaga-hivyo.html
Nimeipenda picha na ujumbe uliomo ndani yake, ingawa nimeumia moyoni. I feel very sorry kwa waafrika wenzangu walio ktk hali hii ya mateso.
Mungu atusaidie
kuna msemo kuwa satan ndio mtawala wa dunia hii,,
i hope unaelewa kwa nn jesus alikataa sio mtawala wa dunia hi
i na akasema mtawala wa dunia amekwisha hukumiwa.
ndio hivo,huoni sasa MS waziri mkuu wa uingereza anataka turuhusu ushoga
kwa kigezo cha misaada...baadae mwingine atakuja na sera yake kuwa wasiokubali kumwabudu yeye hawatapewa viza au kuuwawa__ufunuo karibuni utatimia.
kuna mengine ya wizi na ufisadi mkubwa ikulu,EPA, bodi ya mikopo nk mengi tu
ziz kantri bwana kwa kweli imeharibika
M,mchungaji hawezi kunywa hii kitu mpe offer ya kitu kingine.
Aiseee, kumbe hatimaye MJ alifanikiwa kuolewa, tena na mchungaji! Mimi sikujua hii kitu. Mara ya mwisho nilimsoma akilalamika kwamba kijana alikuwa haeleweki eleweki! Hata hivyo nimpongeze tu kwa hatua hiyo.