Wapendwa maua na bustani tukutane hapa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Nilipijuwa mdogo kupanda maua ilikuwa hobby yangu. Wakati ule ni kuona maua hata yawe Chang'ombe au Keko nitafuatilia nipate mbegu.
Nilikuwa na collection ya maua ridi Meupe, pink na mekundu

Nilikuja kugundua nyoka wanapenda sana kukaa kwenye maua na kwasababu hiyo ilikuwa rahisi kwao kuingia ndani mvua zikinyesha au kukiwa na hali ya baridi

Kusave maua yangu yasiharibiwe ili kuwpuka nyoka niliambiwa na mama mmoja niwe ninachoma kipande cha tairi ya gari karibu na bustani kwani nyoka hawapendi ile harufu Abadan
 
Mkuu unataka nikale kwenye budget ya magereza?
Mama yangu anaishi Australia na kasema nitafute mwanamke wa kulisi mali zake.mimi naishi ulaya nimejaribu kukufuata wewe yaonekana wewe ni sabuni ya roho ya mama yangu.karibu tupanue ukoo


Swissme
 
Mama yangu anaishi Australia na kasema nitafute mwanamke wa kulisi mali zake.mimi naishi ulaya nimejaribu kukufuata wewe yaonekana wewe nu sabuni ya roho ya mama yangu.karibu tupanue ukoo


Swissme
Mkuu karibu tuyaongee Kwamtogole lakini mimewahiwa na Aspirin
 
Mkuu karibu tuyaongee Kwamtogole lakini mimewahiwa na Aspirin
Aspirin mfupi sana kwa kweli si utani wewe ni gold ya mama yangu.mama anakupenda sana na njoo katika ukoo wa wasafi achana na Asprini kibamia.unapenda ninin?kuna lava 4 na ist ziko home pls


Swissme
 
Hata mimi huwa nayapenda sana maua hasa yakipandwa mbele ya nyumba ila kama unataka kuepuka nyoka unaweza tafuta vyungu ukawa unapandia hayo maua kwa kuvipanga vizuri mfano wa vyungu[emoji116]
 
Nimeona tu neno maua na bustani nimesisimka. Napenda sana maua, sijui nisemeje.
Nina maua mengi sana, aina tofauti tofauti, mengine nimeyaning'iniza kuzunguka nyumba, mengine yako ndani. Kwangu kumejaa maua.

Nina bustani ya mboga mboga pia, mchicha, maboga, kunde, bamia, matembele, mchaichai, spinach, vitunguu, bilinganya, nyanya nk

Huwa nikirudi nyumbani cha kwanza ni kuangalia maua na bustani yangu ya mboga mboga, napalilia, nawekea mbolea, napanda, nk. Nikitazama maua na mboga zangu nakuwa na utulivu wa nafsi. Ni furaha iliyoje. Ni bonge moja ya natural therapy

Huwa napulizia dawa ya kuua wadudu mara kwa mara. Sitaki kabisa wadudu kushambulia maua yangu.

Nikipita mahali nikiona maua huwa napata hisia za ndani kabisa. Senti yangu ya mwisho kwenye mkoba naweza kuimalizia kununua ua jipya ili kuongezea kwenye collection yangu.

Bili ya maji ikijaga nakuwaga mdogo lakini potelea pote, maua na bustani kwangu ni muhimu sana bora hata nisinunue nguo lakini nimwagilie, ninunue maua na dawa za wadudu.

I got a special connection with flowers/nature

Asante mtoa mada
 
Nilipanda kwa urembo lakini mwisho wa siku watu walikuja kununua roses za msiba na maua ya kanisani.
 
Hongera sana.....actually ur in love with mother nature.....natamani niyaone mazingira yako.....mimi nahisi nimekuzidi
 
Aisee!! Ukipata kijan
Kibich yanapendeza sana
 
I love nature, i love green color
Asante kwa uzi mujarabu. Shule nikaanzisha nature club nature yaondoa stress ndogo ndogo
 
Mmmh kweli unayapenda sio kwa ukurasa huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…