Wapendwa maua na bustani tukutane hapa

Wapendwa maua na bustani tukutane hapa

Ninapenda sana Maua na miti, Mzee aliniachia Nyumba na mzigo wa Maua ya kuyatunza na nimeweza, siku nilipoamua kuhama na kupangisha hiyo Nyumba kilichoniuma ni Maua yangu sikuwa na uhakika kama mpangaji atayatunza ikabidi nitafute kijana wa kuyatunza kama huduma ya ziada

Sasa hivi changamoto huko ni nyoka mzungu hana amani kabisa, hapa nilipoamia kazi ya Maua ndio inaanza rasmi afu ni sinza nadhani itakua Nyumba ya kipekee mtaani kwa Maua na miti
 
I love nature, i love green color
Asante kwa uzi mujarabu. Shule nikaanzisha nature club nature yaondoa stress ndogo ndogo
Umeona eh...nature ni tamu. Kuna kipindi nilikuwa naishi kwenye gorofa flani hivi za ofisi niliteseka sana maana hakukuwa na nafasi ya kupanda maua na mboga mboga. Mimi kuwa in contact na udongo kwangu ni burudani na tiba
 
Ninapenda sana Maua na miti, Mzee aliniachia Nyumba na mzigo wa Maua ya kuyatunza na nimeweza, siku nilipoamua kuhama na kupangisha hiyo Nyumba kilichoniuma ni Maua yangu sikuwa na uhakika kama mpangaji atayatunza ikabidi nitafute kijana wa kuyatunza kama huduma ya ziada

Sasa hivi changamoto huko ni nyoka mzungu hana amani kabisa, hapa nilipoamia kazi ya Maua ndio inaanza rasmi afu ni sinza nadhani itakua Nyumba ya kipekee mtaani kwa Maua na miti
Sijawahi kukumbana na tatizo la nyoka. Labda ni kwa sababu huwa napulizia madawa
 
Umeona eh...nature ni tamu. Kuna kipindi nilikuwa naishi kwenye gorofa flani hivi za ofisi niliteseka sana maana hakukuwa na nafasi ya kupanda maua na mboga mboga. Mimi kuwa in contact na udongo kwangu ni burudani na tiba
Hahah
Itabidi ghorofani uwaachie Indians
Karibu tu-maintain greenish
 
Nimeona tu neno maua na bustani nimesisimka. Napenda sana maua, sijui nisemeje.
Nina maua mengi sana, aina tofauti tofauti, mengine nimeyaning'iniza kuzunguka nyumba, mengine yako ndani. Kwangu kumejaa maua.

Nina bustani ya mboga mboga pia, mchicha, maboga, kunde, bamia, matembele, mchaichai, spinach, vitunguu, bilinganya, nyanya nk

Huwa nikirudi nyumbani cha kwanza ni kuangalia maua na bustani yangu ya mboga mboga, napalilia, nawekea mbolea, napanda, nk. Nikitazama maua na mboga zangu nakuwa na utulivu wa nafsi. Ni furaha iliyoje. Ni bonge moja ya natural therapy

Huwa napulizia dawa ya kuua wadudu mara kwa mara. Sitaki kabisa wadudu kushambulia maua yangu.

Nikipita mahali nikiona maua huwa napata hisia za ndani kabisa. Senti yangu ya mwisho kwenye mkoba naweza kuimalizia kununua ua jipya ili kuongezea kwenye collection yangu.

Bili ya maji ikijaga nakuwaga mdogo lakini potelea pote, maua na bustani kwangu ni muhimu sana bora hata nisinunue nguo lakini nimwagilie, ninunue maua na dawa za wadudu.

I got a special connection with flowers/nature

Asante mtoa mada
Naomba mwaliko Wa kuja kutalii garden yako
 
Hongera sana.....actually ur in love with mother nature.....natamani niyaone mazingira yako.....mimi nahisi nimekuzidi
mie nahis nimewazid jaman !had najihis sipo sawa !lol !
 
Nimeona tu neno maua na bustani nimesisimka. Napenda sana maua, sijui nisemeje.
Nina maua mengi sana, aina tofauti tofauti, mengine nimeyaning'iniza kuzunguka nyumba, mengine yako ndani. Kwangu kumejaa maua.

Nina bustani ya mboga mboga pia, mchicha, maboga, kunde, bamia, matembele, mchaichai, spinach, vitunguu, bilinganya, nyanya nk

Huwa nikirudi nyumbani cha kwanza ni kuangalia maua na bustani yangu ya mboga mboga, napalilia, nawekea mbolea, napanda, nk. Nikitazama maua na mboga zangu nakuwa na utulivu wa nafsi. Ni furaha iliyoje. Ni bonge moja ya natural therapy

Huwa napulizia dawa ya kuua wadudu mara kwa mara. Sitaki kabisa wadudu kushambulia maua yangu.

Nikipita mahali nikiona maua huwa napata hisia za ndani kabisa. Senti yangu ya mwisho kwenye mkoba naweza kuimalizia kununua ua jipya ili kuongezea kwenye collection yangu.

Bili ya maji ikijaga nakuwaga mdogo lakini potelea pote, maua na bustani kwangu ni muhimu sana bora hata nisinunue nguo lakini nimwagilie, ninunue maua na dawa za wadudu.

I got a special connection with flowers/nature

Asante mtoa mada

shost umenizungumiza mie jaman !yaan nikiwa hata na buku narud hom na ua !uzuri napoishi maua ni cheap bas nayabeba jaman ! nitraweka hapa picha siku 1 ! mie uzur ninaishi jiran na mto bas asbh nayamwagilia weeeee
 
Back
Top Bottom