Asante. Na wewe una msitu wa maua na miti?Hongera sana.....actually ur in love with mother nature.....natamani niyaone mazingira yako.....mimi nahisi nimekuzidi
Umeona eh...nature ni tamu. Kuna kipindi nilikuwa naishi kwenye gorofa flani hivi za ofisi niliteseka sana maana hakukuwa na nafasi ya kupanda maua na mboga mboga. Mimi kuwa in contact na udongo kwangu ni burudani na tibaI love nature, i love green color
Asante kwa uzi mujarabu. Shule nikaanzisha nature club nature yaondoa stress ndogo ndogo
Hahaha...yeah, sanaMmmh kweli unayapenda sio kwa ukurasa huu
Sijawahi kukumbana na tatizo la nyoka. Labda ni kwa sababu huwa napulizia madawaNinapenda sana Maua na miti, Mzee aliniachia Nyumba na mzigo wa Maua ya kuyatunza na nimeweza, siku nilipoamua kuhama na kupangisha hiyo Nyumba kilichoniuma ni Maua yangu sikuwa na uhakika kama mpangaji atayatunza ikabidi nitafute kijana wa kuyatunza kama huduma ya ziada
Sasa hivi changamoto huko ni nyoka mzungu hana amani kabisa, hapa nilipoamia kazi ya Maua ndio inaanza rasmi afu ni sinza nadhani itakua Nyumba ya kipekee mtaani kwa Maua na miti
HahahUmeona eh...nature ni tamu. Kuna kipindi nilikuwa naishi kwenye gorofa flani hivi za ofisi niliteseka sana maana hakukuwa na nafasi ya kupanda maua na mboga mboga. Mimi kuwa in contact na udongo kwangu ni burudani na tiba
Nilishahama siku nyingi hukoHahah
Itabidi ghorofani uwaachie Indians
Karibu tu-maintain greenish
KaribuNilishahama siku nyingi huko
Asante
Kuna miti mingi na Maua, ukiingia utasema upo msituni, ndani ya wiki uchafu unaotoka hapo ni balaaSijawahi kukumbana na tatizo la nyoka. Labda ni kwa sababu huwa napulizia madawa
Naomba mwaliko Wa kuja kutalii garden yakoNimeona tu neno maua na bustani nimesisimka. Napenda sana maua, sijui nisemeje.
Nina maua mengi sana, aina tofauti tofauti, mengine nimeyaning'iniza kuzunguka nyumba, mengine yako ndani. Kwangu kumejaa maua.
Nina bustani ya mboga mboga pia, mchicha, maboga, kunde, bamia, matembele, mchaichai, spinach, vitunguu, bilinganya, nyanya nk
Huwa nikirudi nyumbani cha kwanza ni kuangalia maua na bustani yangu ya mboga mboga, napalilia, nawekea mbolea, napanda, nk. Nikitazama maua na mboga zangu nakuwa na utulivu wa nafsi. Ni furaha iliyoje. Ni bonge moja ya natural therapy
Huwa napulizia dawa ya kuua wadudu mara kwa mara. Sitaki kabisa wadudu kushambulia maua yangu.
Nikipita mahali nikiona maua huwa napata hisia za ndani kabisa. Senti yangu ya mwisho kwenye mkoba naweza kuimalizia kununua ua jipya ili kuongezea kwenye collection yangu.
Bili ya maji ikijaga nakuwaga mdogo lakini potelea pote, maua na bustani kwangu ni muhimu sana bora hata nisinunue nguo lakini nimwagilie, ninunue maua na dawa za wadudu.
I got a special connection with flowers/nature
Asante mtoa mada
mie nahis nimewazid jaman !had najihis sipo sawa !lol !Hongera sana.....actually ur in love with mother nature.....natamani niyaone mazingira yako.....mimi nahisi nimekuzidi
Nimeona tu neno maua na bustani nimesisimka. Napenda sana maua, sijui nisemeje.
Nina maua mengi sana, aina tofauti tofauti, mengine nimeyaning'iniza kuzunguka nyumba, mengine yako ndani. Kwangu kumejaa maua.
Nina bustani ya mboga mboga pia, mchicha, maboga, kunde, bamia, matembele, mchaichai, spinach, vitunguu, bilinganya, nyanya nk
Huwa nikirudi nyumbani cha kwanza ni kuangalia maua na bustani yangu ya mboga mboga, napalilia, nawekea mbolea, napanda, nk. Nikitazama maua na mboga zangu nakuwa na utulivu wa nafsi. Ni furaha iliyoje. Ni bonge moja ya natural therapy
Huwa napulizia dawa ya kuua wadudu mara kwa mara. Sitaki kabisa wadudu kushambulia maua yangu.
Nikipita mahali nikiona maua huwa napata hisia za ndani kabisa. Senti yangu ya mwisho kwenye mkoba naweza kuimalizia kununua ua jipya ili kuongezea kwenye collection yangu.
Bili ya maji ikijaga nakuwaga mdogo lakini potelea pote, maua na bustani kwangu ni muhimu sana bora hata nisinunue nguo lakini nimwagilie, ninunue maua na dawa za wadudu.
I got a special connection with flowers/nature
Asante mtoa mada