Wapendwa mnisaidie how to move on,nataka kumdelete mme wangu parmanently


Manyusi umenifanya nicheke haa haaaa haaaaa hope na Amelie amecheka pia ujumbe mzuri na mzito kazi kwako mama
 
Pole sana Dada, Jaribu kufikiri sana nini kinamfanya mumeo atoke nje au ulishawahi kumuliza kosa lako liko wapi mpaka anakutendea vituko kama hivyo?...

Yaani hapo mie ndipo ninapopakataa (nashukuru The Boss kwenye Uzi wake alisema wazi kuwa wanaume wengi wancheat si kwasababu mke ana matatizo.), hakuna sababu yoyote inayompa mwenzi legitimacy ya kucheat; poor us most of the time sio tu tunalaumiwa, but worse enough twajilaumu wenyewe kwa makosa ya waume zetu!

Huyo mumewe kama walivyowengi he is just arrogant son of his father! Na anafanya hivyo just because he CAN; si ndio wanaume husema kuwa naturally ni poligamist!

Sasa bidada, you can either live with it and wait for divine intervention or do something (quit that ndoa)!
 
Manyusi, assume mumewe Amelia yumo humu ndani, hebu mshauri tisikie ushauri wako! Coz wanaume design hiyo wapo wengi humu, u could be one of them!
 

Mara nyingi katika mambo makini kama haya huwa natoa ushauri wangu kwa wino mwekundu. Nashauri kama ifuatavyo
  1. Ulizaliwa peke yako, tunashirikiana hapa duniani, ila kila mtu atakufa kivyake
  2. Hapo kwenye nyekundu, nahisi ulimaanisha wewe ni mwaminifu
  3. Je, wewe hujawahi kumtenda mmeo kwa namna yoyote ile?
  4. Ukiamua kuachana naye, nina uhakika baada ya muda utapata mwanaume mwingine aka hawala na si mume, kwa sababu wewe si malaika. Mwili wako utadai mahitaji yake, naye atakutimizia. Si mimi si wewe hakuna anayejua litakalotokea baada ya kuwa na huyo mwanaume.
  5. Kuachana naye ili upate amani ya moyo, sawa, ila kupata mwanaume mwingine mwaminifu si guarantee.
  6. Mpe probation period kwa kutengana naye kwa muda kama wa miaka miwili hivi. Hapo utajua kama amebadilika na wewe kujihakikishia kama unaweza kuishi bila yeye kwa maisha yako yote.
 

Uko desperate!! no wonder!
 
POle sana Amelie na wote mlioguswa hisia zenu za ndani ila wale walioguswa zaidi inabidi mpoe kidogo maana tukileta maneno ya kumsimanga huyo kaka inazidi kumuumiza Amelie na kumuona mumewe hafai...binafsi naamini huo ni upepo tu na uchungu wa mke kwani wanajuana wanapendana wakiwa wenyewe hatujui wanachofanya na akirudi tu akimuona moyo wake unapoa ila sasa ni upweke na hasira ya kudanganywa ambako hatuna hakika km jamaa karudi au vip.Wengi wamemuombea hope nayy kajiombea ...Amelie is going to be well and fine ila piga goti lazima kieleweke Mungu wako yu hai umebakiza sehemu kidogo sana uuguse moyo wake.
 
Kama mmefunga ndoa kanisani pengine ungefafanua kanisa gani. Kama in RC basi ushauri wangu ni usali sana kumuombea mume wako, mwenye pepo wa ngono, rozari takatifu na kujitahidi kumuwekea misa ikiwezekana kila siku. Maana hakuna kinachoshindikana kwa Mungu.Sali kwa novena pamoja na watoto maana sala zao zinapenya mawingu.
 




fuata huo ushaurio utakusadia
 
Dada yangu jambo la muhimu ni kutulia kwanza kuna wimbo mmoja wa zamani unasema usimpe talaka subiri japo kwa mwaka kwani talaka ya hasira ni mbaya sana .Hivyo dada yangu kuwa na subira mambo mazuri hayataki haraka vumilia japo kidogo ili uwatunze watoto wako kwani utajisikiaje pale watoto wako watakapokuwa wanalelewa na mama wa kambo na wanateseka itakutesa sana kuliko unavyoona jipange kwanza subira huvuta heri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…