Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,155
- 35,683
Ila mbona ule uzi wa kusema amekufa umefutwa na mods?AMEKUFA USHAURI WA NINI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mbona ule uzi wa kusema amekufa umefutwa na mods?AMEKUFA USHAURI WA NINI
UpoIla mbona ule uzi wa kusema amekufa umefutwa na mods?
Labda wanataka wadhibitisheIla mbona ule uzi wa kusema amekufa umefutwa na mods?
AmenApumzike Kwa amani
Mleta taarifa ya msiba alisema amepewa taarifa na kaka wa marehemu na mawasiliano akaweka.Kwanini ule uzi mwingine umefutwa?
Hii nchi ina heka heka sana huu mwaka
Ameshafariki huyu ndugu,Pole Mkuu bado una pakuanzia. Chukua mkopo weka dhamana nyumba. Walau million tano. Swala la ufanye biashara gani ni swala lingine. Pia jiungamanishe kwenye maombi huko sijui Mwamposa sijui nani hukoo.
Sidhani kama kuna haja ya wewe kusema alikufata pm kuomba mishe ya kufanya.Aiseee ni huyu jamaa Mjasiri mali? 😢😢😢 Ali nicheki PM kuomba kama kuna mishe, na kwenye uzi wake nilimshauri sana. Duh sonona imemshinda na nimeamua kuukatisha uhai wake.
Ni kweli binadamu tumetofautiana namna ya kushughulika na changamoto halafu mbona ile changamoto aliyoipitia ni ndogo sana? Naamini changamoto yake ni changamoto nilizozipitia naamini ni mara 100 au zaidi.
Aisee Ndugu zangu tuishi vizuri na watu haijalishi una hadhi gani na kipato cha namna gani.
Pumzika kwa amani mjasiri na mali 🕯️💔
Mleta taarifa ya msiba alisema amepewa taarifa na kaka wa marehemu na mawasiliano akaweka.
Mods kuna kipindi wanakuaga kama mwezi mchanga
Mleta taarifa ya msiba alisema amepewa taarifa na kaka wa marehemu na mawasiliano akaweka.
Mods kuna kipindi wanakuaga kama mwezi mchanga
Mods wanakuwaga na mambo ya kiwaki sana halafu muda mwingine ma threads ya hovyo na ya kizushi huwa wanayaacha tu.Kwanini ule uzi mwingine umefutwa?
Hii nchi ina heka heka sana huu mwaka
Mods wanachoudhi ni kukaa kimya! Kwanini wasiseme kwanini wamefutaLabda mods wamepiga simu kwenye namba iliyowekwa akapokea muhusika(anayesemekana ni marehemu)
Kwa JF kila kitu kinawezekana,humu kuna madishi ya kutosha
Mods wanachoudhi ni kukaa kimya! Kwanini wasiseme kwanini wamefuta
Mbona ni kawaida sana sio kuomba ni kuulizia kama kuna mishe, na Mimi nilishangaa kwanini mtu haujui na hamfahamiani anakuja na wazo kama hilo?Sidhani kama kuna haja ya wewe kusema alikufata pm kuomba mishe ya kufanya.
Pengine Mods haajathibitisha unaweza Kuta namba imepigwa na amekana kama Kuna msibaMleta taarifa ya msiba alisema amepewa taarifa na kaka wa marehemu na mawasiliano akaweka.
Mods kuna kipindi wanakuaga kama mwezi mchanga