syllae
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,793
- 1,919
Duh iyo mbege najua upo nayo moshi, sas unavorud uku uje nayo ya kutosha ,ntakuja kuchukua ubungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh iyo mbege najua upo nayo moshi, sas unavorud uku uje nayo ya kutosha ,ntakuja kuchukua ubungo
Usijali mkuu..wewe nikumbushe tu siku ya kusafiriDuh iyo mbege najua upo nayo moshi, sas unavorud uku uje nayo ya kutosha ,ntakuja kuchukua ubungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Safari lini inaanza mkuu?ili na mimi nianze safari ya kutoka uku kijijin kwetu nilipo
Fumeni vitambaakwa hyo tusiokunywa sisi ni wafu?
Safari lini inaanza mkuu?ili na mimi nianze safari ya kutoka uku kijijin kwetu nilipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi taarifa zinifikie uku mbeya vijijin nianze kujiandaa kuja kwa magufuli uko
hahahaa mkuu nimependa jibu lako.AhsanteNiko responsible kwa nilichokiandika but siko responsible kwa ulichoelewa.
mkuu sijaona mahusiano kati ya nilichomjibu na ulichonijibu?Fumeni vitambaa
Watembeleeni wasusi
Sugueni kucha
Tembea na midori
Chezeni ufukweni
Tafute wa kumsuta
Mbona simple tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!!mwambie bhana watu wanaacha kazi pombe haiachwi