Wapendwa nimeshikwa na ugonjwa wa ajabu, Sura yangu imeharibika

Wapendwa nimeshikwa na ugonjwa wa ajabu, Sura yangu imeharibika

Loo dada angu sura yangu niianike hapa tena daah
Itakua ngumu maana sina tabia ya kupiga picha hovyo picha zilizopo ni za mwezi wa 7,8
Huu uandishi wako pamoja na kuweka avatar za kike unazua maswali mengi sana upande wangu!!
 
Ni vema ukawahi hospital ukapimwe huko tatizo litajulikana
 
Wapendwa katika BWANA ..
Ninatatizo kubwa sana na baya ambayo naanza kushindwa kutoka hata nje..!

Siku 2/3 hv zilizopita nilishikwa na ugonjwa flani hv upo kama wale mba wa mgongoni au usoni tofauti yake wao wanakuja moja kwa moja uso mzima maana mba huanza kamoja kamoja hadi zinajaa mwili..

Muonekano wangu umebadirika sana from Handsome to Ugly one nashindwa hata kutoka nje niangalie neema za Allah..

Zinawasha hafu sura inavimba kiasi flani..

Nikikumbuka huu ugonjwa utakua ulianza mwezi wa saba maana ulinishika baadhi ya washkaji from Bara wakaniambia ni MATANGO TANGO so nilinunua (ile unayopaka usoni saluni kisha unanawa baaada ya kusuguliwa) nikapewa na videnge kadhaa lkn sikupona...

Siku moja nikiwa mitaa ya FORODHANI ZENJI nikapata dawa flani inaitwa jiko la shamba nikaitumia ikanisaidia nikapoa..
Sasa wikii hii hawa mba/matangotango hata sijui wanaitwaje wameniamulia hakuna jiko la shamba wala la nyumbani ni muwasho na muonekano wa mamba..

Daaah wapendwa nisaidieni sana jina la dawa nitumie na bei zake au kama yawezekana nitengeneze mwenyewe..

Aksanteni sana ma GT wa Jf..

Wenu
Gentries
Mondray 2017
Mimi ni mwanaume usihadaike na Avatar...!​
Tuma picha
 
Matatizo unatakiwa kwenye immune system, ukimuona dr upime damu.
 
We paka petroli halafu washa uso kwa sekunde 10 tia uso kwenye pipa utakuwa sawa.
 
Tumia creme ya betasol unaweza kuitumia yenyewe au kuchanganya na lotion ya bei rahisi ni dawa tosha ili kujiepusha kuwa mweupe unatakiwa uchanganye na lotion isio na chochote kama clere , coconut yaani ya bei isiyozidi 2000 then ndani ya wiki utanipa mrejesho yaani unapona huku ukiwa soft na kungaa ukiona umepona unaachana nayo na hutasikia tena ugonjwa huo unakusogelea nakuonea huruma sana ndugu but hiyo ni dawa isiyo na gharama shiling 700 inauzwa ipo mpk phamacy
 
Mi sikumbuki kama uliwah kuwa pretty toka nakufaham kipindi kile unasoma shule mtambani.so huo ugonjwa uliupata toka tumboni mwa mama yako. Anyway usihangaike na uzuri wa sura dada. Una tabia nzuri? Unaweza chezesha kiuno? Huko chini msafi? Kuna wanaume hawaangalii sana sura.so hilo lisikupe shida sana. Jiheshimu be a good woman utapata tu mwenza. Pole sana dada yangu. Sasa nmeelewa kumbe sometime unakuwa umeathirika kisaikolojia.
 
Back
Top Bottom