Wapendwa nimeshikwa na ugonjwa wa ajabu, Sura yangu imeharibika

Ndipo tulifikia sasa watoto wa kiume wanataka kuonekana kama wa kike!! Yaani mwanaume unaogopa kutoka nje kisa sura ina upele?? Aisee!! Haf avatar yako ya kike!! Astaghfilullah!! Dunia inaelekea pabaya sasa!!..



Ndio sababu huyo jamaa hapo pembeni ya Raila anawaumiza sana wtt wa kiume huko Zanzibar,mwanaume anataka awe na sura nzuri?!,...
 
Ahsante sana dear..Mimi ni maji ya kunde so isije kua inanikrimu nikawa mweupe..

BTW Ahsante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi..

Huu uandishi unatia mashaka sidhani kama umeandikwa na mwanaume rijali,...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…