Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
Mkuu hapo kwenye red uko 100% right. Na ndio maana wengi tunashindwa kukupa ushauri wa maana kwa sababu tusilolijua ni sawa na usiku wa giza. Lakini kadri tunavyokubana ndivyozidi kutoa more info. Kama alishakutangaza kama wewe ni marehemu kwa nini bado unatumia namba zake tena kwenye masuala yanayohusu wanao? Mkuu unapoamua kutafuta ushauri ni lazima ukubali kudiclose all the relevant information, otherwise hutapata ushauri unaohitaji. Inaonekena kuna zaidi ya tuyajuayo.
unajua kaka mi siamini kama kweli huyu mama ndiye mwenye watoto wakubwa hivi alafu anajicontradict kama mtoto. Sasa ukawachukua kwa kujitia unaweza kuwa somesha alafu ukaandika namba za baba ili nini? Wewe huna simu? Au bado unajigonga kwake ile hali umeshabwagwa? Nonsense