GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wamupige mawe, wakupige ngumi, au wakutemee mate lakini huyo Jaribu baadaye ni kirusi.Halafu mnaficha nini kuwa jana baada ya Mechi Kocha kamtukana Tusi Tukuka Jaribu Baadae kwa Upuuzi wa kutowapa Fedha zao Wachezaji walizoahidiwa na zilizowavunja Moyo na kwa Makusudi wakaamua Kutuumiza?
Bosi Magugu Magugu safari hii wala hausiki na Kipigo hiki kwani anaangushwa na Mnafiki Jaribu Baadae ambaye si Mtu mzuri kwa Klabu na ni Kirusi HATARI klabuni kuliko hata kile cha HIV.
Najua kuwa Siku za Ben Naachika ndani ya Fred Jobe Hovyo Hovyo SC zinahesabika na tayari Dalili tumeshaanza Kuziona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu mnaficha nini kuwa jana baada ya Mechi Kocha kamtukana Tusi Tukuka Jaribu Baadae kwa Upuuzi wa kutowapa Fedha zao Wachezaji walizoahidiwa na zilizowavunja Moyo na kwa Makusudi wakaamua Kutuumiza?
Bosi Magugu Magugu safari hii wala hausiki na Kipigo hiki kwani anaangushwa na Mnafiki Jaribu Baadae ambaye si Mtu mzuri kwa Klabu na ni Kirusi HATARI klabuni kuliko hata kile cha HIV.
Najua kuwa Siku za Ben Naachika ndani ya Fred Jobe Hovyo Hovyo SC zinahesabika na tayari Dalili tumeshaanza Kuziona.
Acha roho mbaya.Moyo wangu huwa unajaa furaha sana hasa nikisikia habari mbaya zinazoihusu Simba.
Jitafakari inaweza Kuwa unashida sehemu inaweza Kuwa kwenye ubongo wako,Yanga wanapaswa kuiombea Simba isimame na Simba inapaswa kuiombea Yanga isimame vyema.Licha ya Makando kibao ikwemo fitna,Shiriki lakini ndio kielelezo Cha soka la Tanzania.Wale wa Chamazi hata wafanyaje hawawezi vaa viatu vya Yanga na Simba.Moyo wangu huwa unajaa furaha sana hasa nikisikia habari mbaya zinazoihusu Simba.
Vichaka vinatafutwa kila uchaoKwa hyo zile pesa ndio wakaamua kuachia game Ben kaaga kwenda nyumban
ndio mpira ulivyoHalafu mnaficha nini kuwa jana baada ya Mechi Kocha kamtukana Tusi Tukuka Jaribu Baadae kwa Upuuzi wa kutowapa Fedha zao Wachezaji walizoahidiwa na zilizowavunja Moyo na kwa Makusudi wakaamua Kutuumiza?
Bosi Magugu Magugu safari hii wala hausiki na Kipigo hiki kwani anaangushwa na Mnafiki Jaribu Baadae ambaye si Mtu mzuri kwa Klabu na ni Kirusi HATARI klabuni kuliko hata kile cha HIV.
Najua kuwa Siku za Ben Naachika ndani ya Fred Jobe Hovyo Hovyo SC zinahesabika na tayari Dalili tumeshaanza Kuziona.