Unity ni konyo yani leo siku nzima ilikuwa kwenye autoreplay siku nzima wakati nakula misele nimerudi home hapa na ngoma yake nyingine ya play.umetisha sana kama unaijua hio ngoma ni hatari sana alan walker hakuna ngoma ilio kaa kiree hata moko..
Yap! Umetisha mwamba..Niko hapa autoplay ya play-alan walker baada ya kumalizana na unity na lily
Hizi ngoma hatari sana ni hii mvua ukiwa road burudanYap! Umetisha mwamba..
ukiwa gym hata vyuma vinakukimbia yani vinachoka kwakuwa wewe ni burudani tuu hata uchovu huusikii haahaa. AU unakimbia unaweza ipita pikipiki hadi wakushangae sababu akili iko far na furaha ndani ya kumoyo.Hizi ngoma hatari sana ni hii mvua ukiwa road burudan
pia tommoeow landkuna hili tamasha la maraver linaitwa ultra music festival ni noma. ma DJ wakubwa wote hukusanyika jaribu kucheki performance zao torrents.
ngoma kali sana hii. Inaingia moja kwa moja kwenye playlist.Huyu hapa naye tumshike mkono.
Safi Sana hata mimi yako naisikiliza kwenye mdundo mkali hapa mkuu toka Jana nliipakuangoma kali sana hii. Inaingia moja kwa moja kwenye playlist.
Hao wote hawafui dafu kwa Misso Misondohivi karibuni nimetokea kuupenda sana huu music. ningependa kuujua zaidi kutoka kwa wapenzi wa hizi ngoma za kina Calvin Harris, David Guetta, Tiesto, Dash Berlin etc.
ni dj gani unamkubali zaidi? song gani unazikubali zaidi?
Shukran mkuu. Utaniunganisha na huyo jamaa niwe namsendia project . Nina Beats nyingi sana za EDM zinaweza mfaa.Safi Sana hata mimi yako naisikiliza kwenye mdundo mkali hapa mkuu toka Jana nliipakua
Sawa Sawa mkuu haina noma.Shukran mkuu. Utaniunganisha na huyo jamaa niwe namsendia project . Nina Beats nyingi sana za EDM zinaweza mfaa.