Me niliiangalia mara moja tuu sirudii, Na ile the conjuring niliiangalia mewenyewe almanusura nizimie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilikuwaga nikianza kuiangalia nashangaa Laptop naachiwa peke yangu watu wanalala [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] nimeangalia c zaidi ya Mara 15 hivi ila saiv nashindwa kuangalia hizi clip fupi fupi za mauaji huko ulaya zidi ya black AfricanMe niliiangalia mara moja tuu sirudii, Na ile the conjuring niliiangalia mewenyewe almanusura nizimie[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji15] [emoji15] mara kumi na tano[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] una moyo aisee[emoji23][emoji23] nimeangalia c zaidi ya Mara 15 hivi ila saiv nashindwa kuangalia hizi clip fupi fupi za mauaji huko ulaya zidi ya black African
Mmh DRAG ME TO THE HELL n level myingine,nilishashindwa kuizoeaAnnabelle: Creation
Hills Have Eyes
Husk
Sinister
The Exorcist
I Know What You Did Last Summer
Train
Nsyuka 1 & 2
In The House (Sultan Tamba)
Saladini
Don't Breathe
The Nun
Paranormal Activity zote
Wrong Turn zote isipokua ya mwisho
The Conjuring 1 & 2
Lights Out
Mirrors
Scream
Nightmare on Elm Street zote
Purge: Anarchy
Drag Me To Hell
Get Out
Nlikuwa nikiangalia hivo lengo kuu ilikuwa nisipate kumuwaza Mwanamke .. Nisipate hamu na demu ... Nali save money hatari[emoji15] [emoji15] mara kumi na tano[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] una moyo aisee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nlikuwa nikiangalia hivo lengo kuu ilikuwa nisipate kumuwaza Mwanamke .. Nisipate hamu na demu ... Nali save money hatari
Daaah i real miss you candy[emoji4] [emoji4] [emoji4] asante my mond but mmh hzo movie pke yngu hpana aisee!!naweza toka nduki[emoji125] [emoji125] kwa kuhisi wapo nyuma yngu!![emoji6]
Nshaidownload mkuuKuna moja inaitwa LIGHTS OUT
Mkuu hiyo movie ndo yupo dada moja anakatwa mguu na kuwekwa kipande cha mti?. Halafu mwishoni kuna jamaa dushe linamung'unyuka mung'unyuka??.Ukishazizoea hazitishi. Itafute Planet Terror
Ukishazizoea hazitishi. Itafute Planet Terror
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji125]Mkuu hiyo movie ndo yupo dada moja anakatwa mguu na kuwekwa kipande cha mti?. Halafu mwishoni kuna jamaa dushe linamung'unyuka mung'unyuka??.
WeeeeDrag me to hell haitishi inasisimua tuu...
InaitwajeeKuna movie flan nimeisahau
Wameetia msityni.
Mama yangu.ile movie kiboko.
[emoji16][emoji16]Weeee