Richard R Monyo
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 242
- 265
Haahahaha waambie haooo hahahahakiongozi nimecheki drag me to the hell ni shida mzee inatisha sio pow huwez angalia usiku kama huna moyo mgum
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahahaha waambie haooo hahahahakiongozi nimecheki drag me to the hell ni shida mzee inatisha sio pow huwez angalia usiku kama huna moyo mgum
Mi nipo shamban peke angu SAA 5 naanza kuicheck kwa bando la voda uni offer usiku!.Nmeicheki hii, aisee kama uko mwenyewe na ni usiku unaeza kukimbia.
[emoji23][emoji23]Napenda sana horror asee. Na raha yake uitazame usiku [emoji23][emoji23]
Mosi, INSIDIOUS chapter zote.
Pili, THE CONJURING
Tatu, THE WAILING
Nne, IT
Tano, THE WITCH
Sita, DONT BREATHE
Saba, THEY LOOK LIKE PEOPLE
Sleepy horror ya kawaida,haitishi kiivoNow nazicheki
Sense8
Sleepy horror
The handmaids tale
Westworld
Sirens
Legion
Kwa sasa nacheki hizo
Saw kiboko ile dahKwa nini msiitafute ' saw '
Nadhani unamaanisha sleepy hollow. Hiyo ya watoto mbonaSleepy horror ya kawaida,haitishi kiivo
Saw haitishi bali tu kukatana katana na kutoboana toboana tuKwa nini msiitafute ' saw '
Hamna inayotisha hapo.Now nazicheki
Sense8
Sleepy horror
The handmaids tale
Westworld
Sirens
Legion
Kwa sasa nacheki hizo
Ndio ni series ileNadhani unamaanisha sleepy hollow. Hiyo ya watoto mbona
Dont breath nayo haitishi ,,hyo The Conjuring 2,ndo kibokaNapenda sana horror asee. Na raha yake uitazame usiku [emoji23][emoji23]
Mosi, INSIDIOUS chapter zote.
Pili, THE CONJURING
Tatu, THE WAILING
Nne, IT
Tano, THE WITCH
Sita, DONT BREATHE
Saba, THEY LOOK LIKE PEOPLE
Hahah wanajaribu kuhadithiana tamthilia siyo?Wanaume wa dar bhana
Hiyo SAW cd yake niliinunua nikaangalia part 1 kuna pale jamaa mmoja black sijui anavunjwa vunjwa shingo changanya na kiuno miguu mikono na limashine nikaishia hapo hapo,niliingiwa wenge nikaitoa cd nikaivunja hata nilikoitupia sikumbuki.Saw kiboko ile dah
Hahahah ndo movie yenyew hyo mkuu,, imagine unacheki peke yako halafu usiku kama saa 5 hv,, unachek yule jamaa anavyovunjwa vunjwa vle hahahHiyo SAW cd yake niliinunua nikaangalia part 1 kuna pale jamaa sijui anavunjwa vunjwa shingo changanya na kiuno miguu mikono na limashine,niliingiwa wenge nikaitoa cd nikaivunja hata nilikoitupia sikumbuki.
Mambo gani yale hata kama ni movie nyengine wanazidisha mbwembwe aisee.
Hahahaa hatari sana mkuuDrag me to hell ni shida asee
HahahaHizi horror movie nilikua nazipenda Hatari mpaka wenzangu wakawa wananishangaa nawezajee kuziangalia.....
Kilichokuja kunifanya nikazichukia na kuacha kabisa ni hizi wrong turn aisee.... Mpaka leo nimekua mtu mwoga mno yaani zimeni affect psychologically kulala mwenyewe kwenye mazingira mageni ni shida, kutembea au kutoka au kurudi usiku kwangu ni mwiko labda niwe company.
Sikuiz ni mwendo wa animation tu na comedy staki Stress kabisa
Haya mamuvi yanakujaga na mapepo sometimes..... Yaan sina ham nayo [emoji3][emoji3]