Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Hiyo SAW cd yake niliinunua nikaangalia part 1 kuna pale jamaa mmoja black sijui anavunjwa vunjwa shingo changanya na kiuno miguu mikono na limashine nikaishia hapo hapo,niliingiwa wenge nikaitoa cd nikaivunja hata nilikoitupia sikumbuki.

Mambo gani yale hata kama ni movie nyengine wanazidisha mbwembwe aisee.
Hahahahaha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukiangalia hizi movie unaweza ukaikimbia screen yako kwa hofu

1.Women in black 2012



2.Drag me to Hell


Ila Mkuu Filamu zako zote hizi bado hazijaifikia kwa kutisha hii Filamu iliyotia ' fora ' nchini Tanzania hasa baada ya ' Kutengenezewa ' kule Mkoani Dodoma inayoitwa ' A true Hero and Survivor of 38 bullets around a well protected avenue '
 
Nimegundua watu wengi wanatishika na Movies za mizimu kuliko za aina nyingine.

Kama unataka kutishika haswa tafuta hizi:

THE CONJURING 1 & 2

AMITYVILLE HORROR

PARANORMAL ACTIVITY

THE RING

DELIVER US FROM EVIL

DEAD SILENCE

Hakikisha unaziangalia usiku kwenye giza totoro. Ukizimaliza utajuta kwanini ulizitazama!!!
 
Ila Mkuu Filamu zako zote hizi bado hazijaifikia kwa kutisha hii Filamu iliyotia ' fora ' nchini Tanzania hasa baada ya ' Kutengenezewa ' kule Mkoani Dodoma inayoitwa ' A true Hero and Survivor of 38 bullets around a well protected avenue '
IMG_20180528_015936_088.jpg
 
Nimegundua watu wengi wanatishika na Movies za mizimu kuliko za aina nyingine.

Kama unataka kutishika haswa tafuta hizi:

THE CONJURING 1 & 2

AMITYVILLE HORROR

PARANORMAL ACTIVITY

THE RING

DELIVER US FROM EVIL

DEAD SILENCE

Hakikisha unaziangalia usiku kwenye giza totoro. Ukizimaliza utajuta kwanini ulizitazama!!!
Aisee, hyo Conjuring 1 n 2,niliitizama baadae nlianza kujutia ila kadri ilivyokuwa inasonga ndo nkazd kuipenda zaidi,, movie nzuri sna
 
Hizi horror movie nilikua nazipenda Hatari mpaka wenzangu wakawa wananishangaa nawezajee kuziangalia.....

Kilichokuja kunifanya nikazichukia na kuacha kabisa ni hizi wrong turn aisee.... Mpaka leo nimekua mtu mwoga mno yaani zimeni affect psychologically kulala mwenyewe kwenye mazingira mageni ni shida, kutembea au kutoka au kurudi usiku kwangu ni mwiko labda niwe company.

Sikuiz ni mwendo wa animation tu na comedy staki Stress kabisa

Haya mamuvi yanakujaga na mapepo sometimes..... Yaan sina ham nayo [emoji3][emoji3]
Movie hizo daah..kuna hii ya mwisho daah.Kuna movie niliwahi angalia nikaacha kuzima kila kitu kwa sebule..
 
Back
Top Bottom