Richard R Monyo
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 242
- 265
Hahahahaha [emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo SAW cd yake niliinunua nikaangalia part 1 kuna pale jamaa mmoja black sijui anavunjwa vunjwa shingo changanya na kiuno miguu mikono na limashine nikaishia hapo hapo,niliingiwa wenge nikaitoa cd nikaivunja hata nilikoitupia sikumbuki.
Mambo gani yale hata kama ni movie nyengine wanazidisha mbwembwe aisee.
Thriller ....horrorTofautisha kati ya kutisha na kuhuzunisha
Ukiangalia hizi movie unaweza ukaikimbia screen yako kwa hofu
1.Women in black 2012
2.Drag me to Hell
Ila Mkuu Filamu zako zote hizi bado hazijaifikia kwa kutisha hii Filamu iliyotia ' fora ' nchini Tanzania hasa baada ya ' Kutengenezewa ' kule Mkoani Dodoma inayoitwa ' A true Hero and Survivor of 38 bullets around a well protected avenue '
Aisee, hyo Conjuring 1 n 2,niliitizama baadae nlianza kujutia ila kadri ilivyokuwa inasonga ndo nkazd kuipenda zaidi,, movie nzuri snaNimegundua watu wengi wanatishika na Movies za mizimu kuliko za aina nyingine.
Kama unataka kutishika haswa tafuta hizi:
THE CONJURING 1 & 2
AMITYVILLE HORROR
PARANORMAL ACTIVITY
THE RING
DELIVER US FROM EVIL
DEAD SILENCE
Hakikisha unaziangalia usiku kwenye giza totoro. Ukizimaliza utajuta kwanini ulizitazama!!!
Heri yako wewe umeipenda. Wengine wanajuta jinsi inavyotisha balaa.Aisee, hyo Conjuring 1 n 2,niliitizama baadae nlianza kujutia ila kadri ilivyokuwa inasonga ndo nkazd kuipenda zaidi,, movie nzuri sna
Hatari mkuuHappy death day nayo kiboko ile
[emoji23][emoji23][emoji23]Nsyuka,shumileta
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mayooooo mkuu ni hatriiii[emoji16][emoji16][emoji23]Kuna moja inaitwa LIGHTS OUT
Movie hizo daah..kuna hii ya mwisho daah.Kuna movie niliwahi angalia nikaacha kuzima kila kitu kwa sebule..Hizi horror movie nilikua nazipenda Hatari mpaka wenzangu wakawa wananishangaa nawezajee kuziangalia.....
Kilichokuja kunifanya nikazichukia na kuacha kabisa ni hizi wrong turn aisee.... Mpaka leo nimekua mtu mwoga mno yaani zimeni affect psychologically kulala mwenyewe kwenye mazingira mageni ni shida, kutembea au kutoka au kurudi usiku kwangu ni mwiko labda niwe company.
Sikuiz ni mwendo wa animation tu na comedy staki Stress kabisa
Haya mamuvi yanakujaga na mapepo sometimes..... Yaan sina ham nayo [emoji3][emoji3]
Miss you paprikaYaani hapo nimeangalia chache!
Final destination
Chucky
Orphan
Mama
Scream
Wrong turn naipenda sana nitapata wapi movie inayotisha kama wrong turn napenda sana watu walivyokuwa wanauwawa kikatilikwa wale walioangalia wrong turn, kusema ukweli ile ya kwanza kwangu ilikuwa ni nomaa, na imefunika zote