Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Hizo move nishaziona zote,,, ila niko hapa kuona kama kuna zaidi ya hizo.
Mkuu kuna movie flani dingi na watoto wanaenda mapumzikoni huko wanakutana na kibox flani hivi watoto bila kujua wanakichukua na kurudi nacho home kwao. Kibox hicho kitaleta kizazaa ndani ya familia hiyo. Dah! Movie tamu sana jina tu limenitoka
 
1541426478607.jpeg

Kwa wenye familia hii ni bonge la fundisho
 
Yes mtu anakutupia lishetani kwa kuchantia kitu na kukukabidhi ukipokea hicho kitu kwisha kazi litakusumbua siku ya saba linakubeba mpaka uwahi umrudishie aliyekupa hicho kitu kabla ya siku ya saba.
kwenye hiyo movie kuna mbibi alimpa mdada flani kifungo alichochantia dada alihangaika siku anaenda kirudisha akakuta bibi kafa, shetani likawa linamtesa akaambiwa akafukue kaburi akiweka kwenye kichwa cha maiti ya huyo bibi wakati anaenda akachanganya bahasha iliyokuwa na kifungo masikini akafukua na kuweka kifungo tofauti akafarijika kamaliza kazi akaamua aende vacation yuko kwenye kituo cha trni na bf wake bf wake anamwambia jana ulisahau kitu kwenye gari langu anamtolea bahasha yenye kile kifungo na siku hiyo ndiyo ilikuwa siku ya saba mara dada anaanza rudi nyuma ardhi inafunguka mkono wa shetan unamdaka anazama ardhin
Duuu lazma niichek
 
Hivi hii ndo ile dem flan alimuadapt dogo baada ya wazazi aliokuwa anaishi nao kutaka kumuua kwa kumweka kwenye jiko la oven kumbe dogo shetani na ndiyo maana walitaka kumuua?
Hii wazazi wana muadapt huyo dogo kwa ajili ya mtoto wao ambaye ni bubu kumbe huyo dogo ni balaa nyumba itakuwa haikaliki kwa vituko vyake. Mtoto wao ambaye ni bubu anaona mambo yote yanayo tendeka sema hawezi kusema!
 
- The conjuring
-Drag me to hell
nazikubali sana hii kampuni iliyoandaa The conjuring wanaileta tena The Nun Inatoka mwakani
Sema hiyo the woman in black sijaiona ngoja nikaigoogle
 
Yes mtu anakutupia lishetani kwa kuchantia kitu na kukukabidhi ukipokea hicho kitu kwisha kazi litakusumbua siku ya saba linakubeba mpaka uwahi umrudishie aliyekupa hicho kitu kabla ya siku ya saba.
kwenye hiyo movie kuna mbibi alimpa mdada flani kifungo alichochantia dada alihangaika siku anaenda kirudisha akakuta bibi kafa, shetani likawa linamtesa akaambiwa akafukue kaburi akiweka kwenye kichwa cha maiti ya huyo bibi wakati anaenda akachanganya bahasha iliyokuwa na kifungo masikini akafukua na kuweka kifungo tofauti akafarijika kamaliza kazi akaamua aende vacation yuko kwenye kituo cha trni na bf wake bf wake anamwambia jana ulisahau kitu kwenye gari langu anamtolea bahasha yenye kile kifungo na siku hiyo ndiyo ilikuwa siku ya saba mara dada anaanza rudi nyuma ardhi inafunguka mkono wa shetan unamdaka anazama ardhin
Mmmmhhhhh hatarr
 
- The conjuring
-Drag me to hell
nazikubali sana hii kampuni iliyoandaa The conjuring wanaileta tena The Nun Inatoka mwakani
Sema hiyo the woman in black sijaiona ngoja nikaigoogle
Hiyo woman in black nayo ni cheche
 
Drag me to Hell, move hii ninaipenda kwa sababu inafundisha.

Kuna move 1 niliangalia zaman sana dogo zombi alimuua sister wa kanisa alikuwa anatoa msaada kwake
 
End of days niliiona Kwa mara ya kwanza EA television. Nilivhowahadithia wadau. Wakanipa pesa na baiskeli niifate kariakoo niliapishwa nisirudi bila kuipata. Tuliipata. Ilitazamwa consecutively kama mara nne hivi.
 
Back
Top Bottom