James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Wrong turn ni horror au mazombi?Mkuu LICHADI vipi kuhusu {wrong turn} nayo haina vigezo vya kupenya kabisa kwenye list.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wrong turn ni horror au mazombi?Mkuu LICHADI vipi kuhusu {wrong turn} nayo haina vigezo vya kupenya kabisa kwenye list.
Sipendag watu wanapochanganya horror na mazombi. Hostel ni moja ya horror nzuri sana. Pia I know what you did in the last summer.Drag me to hell
Annabelle the creation
Conjuring
The Hills have eyes
Hostel
Hizi movie siwezi kurudia kutizama hata kwa kulipwa. Hapa kuzikumbuka tu najua sitolala vizuri [emoji23][emoji23]
Zipo 3 part 1 ~3
duuu io simulizi tuu nywele zimesimaYes mtu anakutupia lishetani kwa kuchantia kitu na kukukabidhi ukipokea hicho kitu kwisha kazi litakusumbua siku ya saba linakubeba mpaka uwahi umrudishie aliyekupa hicho kitu kabla ya siku ya saba.
kwenye hiyo movie kuna mbibi alimpa mdada flani kifungo alichochantia dada alihangaika siku anaenda kirudisha akakuta bibi kafa, shetani likawa linamtesa akaambiwa akafukue kaburi akiweka kwenye kichwa cha maiti ya huyo bibi wakati anaenda akachanganya bahasha iliyokuwa na kifungo masikini akafukua na kuweka kifungo tofauti akafarijika kamaliza kazi akaamua aende vacation yuko kwenye kituo cha trni na bf wake bf wake anamwambia jana ulisahau kitu kwenye gari langu anamtolea bahasha yenye kile kifungo na siku hiyo ndiyo ilikuwa siku ya saba mara dada anaanza rudi nyuma ardhi inafunguka mkono wa shetan unamdaka anazama ardhin
duuu upo vzur mkuu we ni expect wa horror muviThe Nun kidogo tamu ila huwa nashangaa mnaziita za kutisha wakati wengine ndio huwa tunapenda na kusuuzika roho kwa matukio yale yanayowatisha nyie
msela ile kofia haianguki[emoji23]Naaam,ni balaa
cjaziona horror movie nyng but ile ya mirror kwangu ni 1st in my list kwa kutisha na issabele dollNakumbuka kama vile iliisha na ile curse sijui iliteketea kuzimu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kitambo sana.
Mkuu vipi MIRROR??? au ilinitisha Mimi tuu??
Wrong turn 1 pekee ndio nzuri zilizobaki zote fambaWrong turn za kishamba zile
Hatari sana kama mwoga weka pembeni!!Drag me to hell ni noma sana
latest imetoka mwezi Septemba, 2018Hivi hiyo the nun ni ya mwaka gani.?
Maana Mimi inakuja ya 1996
Bibi alimtesa sana bintiNISHATAZAMA MOVIE ZA KUTISHA NYINGI LAKINI HII NDIYO NILIIPA SALUTE
ukitaka kudownload movie kirahisi kwa single click, andika "index of (jina la movie)" utapata link kibao na zenye matoleo tofauti tofauti (480p,720p,1080p) au tafuta kwa mwaka kwa kuandika "index of mwaka (mf.2017) movies", link utazopata ni za kudownload kwa single click na pia kwa device zote (ondoa iPhones) na huna haja ya kuwa na application nyingine kama torrent client nk.. changamoto ni kwa movie mpya sana huwezi kuzipata kwa njia hii...Link ya kuzidownlod mkuu naomba.
Hiyo nayo sio haba nataka nidownload tena nichekNakumbuka kama vile iliisha na ile curse sijui iliteketea kuzimu..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kitambo sana.
Mkuu vipi MIRROR??? au ilinitisha Mimi tuu??
***** hatari sanaBibi alimtesa sana binti
Umetisha sana umenipa formula moja matata sana nimeijaribu ikakubari Mungu akutunge amabereukitaka kudownload movie kirahisi kwa single click, andika "index of (jina la movie)" utapata link kibao na zenye matoleo tofauti tofauti (480p,720p,1080p) au tafuta kwa mwaka kwa kuandika "index of mwaka (mf.2017) movies", link utazopata ni za kudownload kwa single click na pia kwa device zote (ondoa iPhones) na huna haja ya kuwa na application nyingine kama torrent client nk.. changamoto ni kwa movie mpya sana huwezi kuzipata kwa njia hii...
mfano wa link hizo ni kama hii
Index of /Film/
Asante mkuu.ukitaka kudownload movie kirahisi kwa single click, andika "index of (jina la movie)" utapata link kibao na zenye matoleo tofauti tofauti (480p,720p,1080p) au tafuta kwa mwaka kwa kuandika "index of mwaka (mf.2017) movies", link utazopata ni za kudownload kwa single click na pia kwa device zote (ondoa iPhones) na huna haja ya kuwa na application nyingine kama torrent client nk.. changamoto ni kwa movie mpya sana huwezi kuzipata kwa njia hii...
mfano wa link hizo ni kama hii
Index of /Film/
Inatisha sana. Niliacha kujiangalia kwenye kioo kwa muda.Hiyo nayo sio haba nataka nidownload tena nichek