blackstarline
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 3,278
- 7,966
Mkuu kuna movie flani dingi na watoto wanaenda mapumzikoni huko wanakutana na kibox flani hivi watoto bila kujua wanakichukua na kurudi nacho home kwao. Kibox hicho kitaleta kizazaa ndani ya familia hiyo. Dah! Movie tamu sana jina tu limenitokaHizo move nishaziona zote,,, ila niko hapa kuona kama kuna zaidi ya hizo.
Duuu lazma niichekYes mtu anakutupia lishetani kwa kuchantia kitu na kukukabidhi ukipokea hicho kitu kwisha kazi litakusumbua siku ya saba linakubeba mpaka uwahi umrudishie aliyekupa hicho kitu kabla ya siku ya saba.
kwenye hiyo movie kuna mbibi alimpa mdada flani kifungo alichochantia dada alihangaika siku anaenda kirudisha akakuta bibi kafa, shetani likawa linamtesa akaambiwa akafukue kaburi akiweka kwenye kichwa cha maiti ya huyo bibi wakati anaenda akachanganya bahasha iliyokuwa na kifungo masikini akafukua na kuweka kifungo tofauti akafarijika kamaliza kazi akaamua aende vacation yuko kwenye kituo cha trni na bf wake bf wake anamwambia jana ulisahau kitu kwenye gari langu anamtolea bahasha yenye kile kifungo na siku hiyo ndiyo ilikuwa siku ya saba mara dada anaanza rudi nyuma ardhi inafunguka mkono wa shetan unamdaka anazama ardhin
Hivi hii ndo ile dem flan alimuadapt dogo baada ya wazazi aliokuwa anaishi nao kutaka kumuua kwa kumweka kwenye jiko la oven kumbe dogo shetani na ndiyo maana walitaka kumuua?View attachment 922299
Kwa wenye familia hii ni bonge la fundisho
Hii wazazi wana muadapt huyo dogo kwa ajili ya mtoto wao ambaye ni bubu kumbe huyo dogo ni balaa nyumba itakuwa haikaliki kwa vituko vyake. Mtoto wao ambaye ni bubu anaona mambo yote yanayo tendeka sema hawezi kusema!Hivi hii ndo ile dem flan alimuadapt dogo baada ya wazazi aliokuwa anaishi nao kutaka kumuua kwa kumweka kwenye jiko la oven kumbe dogo shetani na ndiyo maana walitaka kumuua?
Noma sanaHii wazazi wana muadapt huyo dogo kwa ajili ya mtoto wao ambaye ni bubu kumbe huyo dogo ni balaa nyumba itakuwa haikaliki kwa vituko vyake. Mtoto wao ambaye ni bubu anaona mambo yote yanayo tendeka sema hawezi kusema!
Really?Acha kabisa mkuu mimi trailer yake tu sikuoga wiki nzima
Mmmmhhhhh hatarrYes mtu anakutupia lishetani kwa kuchantia kitu na kukukabidhi ukipokea hicho kitu kwisha kazi litakusumbua siku ya saba linakubeba mpaka uwahi umrudishie aliyekupa hicho kitu kabla ya siku ya saba.
kwenye hiyo movie kuna mbibi alimpa mdada flani kifungo alichochantia dada alihangaika siku anaenda kirudisha akakuta bibi kafa, shetani likawa linamtesa akaambiwa akafukue kaburi akiweka kwenye kichwa cha maiti ya huyo bibi wakati anaenda akachanganya bahasha iliyokuwa na kifungo masikini akafukua na kuweka kifungo tofauti akafarijika kamaliza kazi akaamua aende vacation yuko kwenye kituo cha trni na bf wake bf wake anamwambia jana ulisahau kitu kwenye gari langu anamtolea bahasha yenye kile kifungo na siku hiyo ndiyo ilikuwa siku ya saba mara dada anaanza rudi nyuma ardhi inafunguka mkono wa shetan unamdaka anazama ardhin
Hiyo woman in black nayo ni cheche- The conjuring
-Drag me to hell
nazikubali sana hii kampuni iliyoandaa The conjuring wanaileta tena The Nun Inatoka mwakani
Sema hiyo the woman in black sijaiona ngoja nikaigoogle
Nipe maoni yako kuhusu wrong turn au nayo hujaitazamaHizo move nishaziona zote,,, ila niko hapa kuona kama kuna zaidi ya hizo.
Duh hiyo SAW ndo usipimeTatizo amujui tofsutisha kuna aina mbalimbali za horror, conjiring uwezi fananisha na Saw.
ha ha ha ha nikiwa nimetulia nitafanya kuipakua kwakweliHiyo woman in black nayo ni cheche