KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,320
ha ha ha ha nibonge la picha hautajuta kuliangaliaYani, muvi yenyewe sijaitizama lakini naona kama manyokanyoka vile.
Sijui tu, lakini naweza sema hawa madirector ni wataalam sana kuzitengeneza hizi muvi.
Kwa jinsi zinavyoanza,mwendelezo wake na hitimisho pia kwakweli zinakuwa zinabeba uhalisia dhahiri.
Waweza fikiri labda huenda hawa madirector wamekuwa wameshiriki hayo maisha katika ulimwengu, halisia yani.
Drag Me To Heal.
Naigongea muhuri rasmi kuitafuta.
NIkweli unaloongea mkuu lakini angalia scene ya kwanza huyo mama kipindi ni kijana alipokutana na yule kijana akamuuliza kuna kitu amechukua sio chake akiwa na maana aliiba,Hiyo laana ili uipate inabidi upewe kitu nawe ukipokee, ndiyo maana yule bibi ali chantia kile kifungo na akakimkabidhi yule dada akakipokea, kama unakumbuka yule dada alivyoenda kwa yule sijui mganga sijui fortune teller katika kumsoma alimuuliza kuna kitu umepewa/umepoteza dada akabisha jamaa akamwangalia akaona kifungo chake hakipo ndipo akamwambia kifungo
Don't Breath bado part two yake haijatoka tu?Napenda sana horror asee. Na raha yake uitazame usiku [emoji23][emoji23]
Mosi, INSIDIOUS chapter zote.
Pili, THE CONJURING
Tatu, THE WAILING
Nne, IT
Tano, THE WITCH
Sita, DONT BREATHE
Saba, THEY LOOK LIKE PEOPLE
Kule jukwa la Entertainment kuna uzi upo unaohusu muvi hizi za kutisha.Wazee tupieni latest horror movies au series nizipakue now
Fanya hivyo madameKule jukwa la Entertainment kuna uzi upo unaohusu muvi hizi za kutisha.
Kuna page kama 100...nenda ukazipakue humo.
Ni hatare...ngoja nikakutag
Poa ZeuFanya hivyo madame
Jinsi ilivyoisha ni kama inamuendelezo hivi,.vipi unafahamu lolote juu ya hilo?Hiyo laana ili uipate inabidi upewe kitu nawe ukipokee, ndiyo maana yule bibi ali chantia kile kifungo na akakimkabidhi yule dada akakipokea, kama unakumbuka yule dada alivyoenda kwa yule sijui mganga sijui fortune teller katika kumsoma alimuuliza kuna kitu umepewa/umepoteza dada akabisha jamaa akamwangalia akaona kifungo chake hakipo ndipo akamwambia kifungo
Movie za horror za hivyo mara nyingi huisha hivyo. Angalia hata movie ya mwaka jana ya Truth or Dare, nayo mwisho wake ni kama ina muendelezo au hata old schools za Wrong Turn.Jinsi ilivyoisha ni kama inamuendelezo hivi,.vipi unafahamu lolote juu ya hilo?
Nilijuta kuharibu MBs zangu kwenye hii kituWatu waliisifia sana the nun kuwa inatisha kinyamela..daah hamna kitu bora drag me to hell...
Hata mimi nilijuta,.ni bora ningecheki zangu nsyuka tuu ya mussa banzi,.
Hata mimi nilijuta,.ni bora ningecheki zangu nsyuka tuu ya mussa banzi,.
Hahaa,.eti bibi mwenda..kati ya hizo 2 drag me to hell tamm..tenga muda uichekiMi niliziangalia kwa shauku sana hizi Conjuring ii na iyo The nun kwangu mimi sikuona cha kutisha kabisa Bora hata niangalie tu kina bi mwenda kule makaburini usiku.. labda nikipata muda tena ntaiangalia iyo drag me to hell ingawa sitarajii chochote pia hata kwenye hii
FreshHahaa,.eti bibi mwenda..kati ya hizo 2 drag me to hell tamm..tenga muda uicheki