Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Wapenzi wa Filamu za Kutisha (Horror Movies)

Hizo ukitaka zinoge zaidi subiri usiku zimaa taa funga madirisha, funga milango usitumie headphones, alafu anza kuangalia, ukisikia hata kijiko kimeanguka jikoni lazima moyo ufanya paa, alafu utajihisi wewe ndio upo ndani ya movie,


Ukimaliza nusu saa lazima utakuwa jasusi.
 
Njia rashidi ya kupata movie ni kutumia torrent,

Kama una PC ingia Google, type bitcomet alafu download Kisha install,
Baada hapo ingia yts.com, humo utakuta kila movie iwe mpya iwe ya zamani, kila category alafu zote ni HD

Ukishapata unayotaka chagua download Kisha utaona Alama ya magnet bofya hapo,
Ile app ya bitcomet itadaka kisha itaomba ruhusa yako, utairuhusu
Alafu mzigo unaaza kushuka,

alafu hii app inaweza kudownload vitu vingi Kwa wakati mmoja, mwenyewe huwa nashusha movies kuanzia 7 mpaka 9 na zote zinajaa unafanya kuangalia tu ukipata muda.
 
Hatari mkuu yule dada aliuchezea moto wa yule bibi
Mrs ganush
72469-28552-1.jpg
Huyu bibi noma yaani alikufa lakini bado anamove
 
Hizo Saw nimeanza kuangalia zamani huwa siziwezi mara mtu katolewa utumbo, kanyofoa kichwa, kakata mguu Kwa kisu,katolewa macho, kakunjwa mifupa, mara mtu anasagwa Kwa machine, au kachomekwa minyororo alafu kuna bomb alafu anaanza kujinyofoa minyororo,

alafu baada ya hapo unaanza kukosa amani Kama wiki hivi alafu unarudi kwaida.

ila IT na US story zake nzuri pia za kawaida alafu zinafurahisha, zinakufanya uinjoy ujisikie Kama hapa naangalia movie ila hizo nyingine unaangalia movie na mashaka kibao bora nirudi sci fi.
 
Back
Top Bottom