Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
Mkuu ukipata time zisikilizePesa position
Ya Je'an
Nzele
Leau
RTC riva
Colonisation
Si je' sa veica
Ingratitude
Vice versa
Aisee sijawahi choka kusikiliza hizo nyimbo pale juu.
Ongezea "Frere Edouard" na "Aminata"Pesa position
Ya Je'an
Nzele
Leau
RTC riva
Colonisation
Si je' sa veica
Ingratitude
Vice versa
Aisee sijawahi choka kusikiliza hizo nyimbo pale juu.
👍🤝👏Mwaka amefariki nilikuwa darasa la nne tu,, ametokea kuwa favorite kwangu. Nina playlist ya nyimbo zake na haipiti siku sijamsikiliza.. Amefanya nikajifunza kilingala na French Ili nipate kuelewa nyimbo zake na angalau nazielewa japo si kwa kiwango Cha juu kama watu wa lugha Yao.
Madilu yule wa Udsm na JiteuteUnamaanisha Madilu yule wa Singida?
Mochombo ndio wimbo gani mkuu ama unamaanisha RTC Riva?Mochombo ni moja ya dude nalolikubali sana,
Madilu System alikua next level napenda sana anavyojigamba na kucheka kile kicheko kinene daaaa
r.i.p
Aendelee kutoa zuku na rhumba za maanaYaani huyu jamaa apewe siti special huko aliko tukifika tumkute kazi iendelee
Nenda kampikie mmeo hii ni miziki ya wanaume wa ukweli we kasikilize taarabu za machoko wenzioTafuta pesa wewe.
Huyu jamaa bwanaNenda kampikie mmeo hii ni miziki ya wanaume wa ukweli we kasikilize taarabu za machoko wenzio
Weka hapa mkuu tufurahi wote.Mi niko na collection ya nyimbo zake zote kama kuna mtu anahitaji nyimbo yake utanishtua