Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Toyota Harrier
2190CC
5s engine, 4cylinder
Bei:12M
Mawasiliano :0689699704
4bf2baa31e5c03ee02be88282cc2ec56.jpg
7c23498655cd32ac41e5f59b8e5e166f.jpg
f1eb02a769597078921b9396582c2544.jpg
787d1d94a69663780e1f29374241c4a1.jpg
12d0794954b223b78bc5d876fd626bdb.jpg
 
Kumbuka pia gari zuri linahitaji ulinzi, hivyo wasiliana na I Secure Technology tukufungie GPS TRACKER kwa ulinzi na usalama wa gari lako.
GPS tracker inakuwezesha Kujua mahali gari lako lilipo,kulimit speed,uwezo wa kuzima gari lako popote ulipo endapo likiibiwa au kuwa na wasiwasi na uliyempa gari,kupata Taarifa za milango kufungwa na kufunguliwa,gari kuwashwa au kuzimwa na Taarifa nyingine nyingi.Wasiliana nasi kwa namba 0677 178 169 au 0738 599 877 pia unaweza kutembelea tovuti yetu www.isecure.co.tz
 
2965b2cbd88d16a5f2e53c797d51689e.jpg
Taarifa zote kuhusu gari lako utazipata kupitia simu yako ya mkononi kwa njia ya ujumbe mfupi wa maandishi,email au google map kwenye simu yako au kompyuta. Wasiliana na I Secure Technology kwa huduma za GPS TRACKER kwa ulinzi madhubiti wa gari lako
 
Wakuu natafuta Jeep au land rover defender kwa ajili ya kazi za tour
 
Usilete ubaguzi kwenye biashara tafadhali, hiyo kitu haikubaliki popote pale duniani... kama mtu amependa gari iliyo tangazwa, atapewa data ya ziada baadaye kwamba mmiliki ni wa kabila au rangi and jinsia gani...na hapo mwenyewe muuzaji ana haki ya kumjulisha kwamba, kwa mfano, ilikuwa ni ya mchina fulani, na huwa wachina hawatunzi magari kwa sababu wanaagiza spare feki kutoka kwao ilimradi wa save pesa na siku zisogee..

I hope I'm clear, kwani sio wahindi au wanawake wote ni watunzaji wazuri wa magari na sio waswahili au wanaume wote ni waharibifu wa magari...

Lets change our mindsets... its high time...
Hakuna ubishi kuwa wahindi tunajua route na utunzaji wa Magari yao bwana, acha ubishi usio na Tija, mhindi hana tabia za kuazimisha Magari wala mizunguko isiyokuwa ya lq lazima, wewe km unadhani n ubaguzi basi pole
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom