Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Mkuu master! Nitapata land cruiser pick up macho ya panzi iwe double cabin ama single? Pesavniliyonayo ni 25 milioni. Je nitapat?
 
Toyota vits new model
Ni namba b lakini imekaza kuliko C nyingi.
Kikubwa zaidi ina km 97000tu!
Ni model ya mwaka 2006
990CC
Bei:5.5M fixed
Ipo kitunda Dar es salaam ukiwa serious tunaweza kukusogezea
Mawasiliano:0689699704
 
Hizo ni bei za showroom! Late bei zinazovutia walaji au inafikiri kutuletea mapicha na bei za kupiga ndo uonekane mjanja?
 
Jamani haya mrembo huyu hapa. Baiby huyu anavutia sana yaani nataka kumuona na ataweza kumchukua. Na kwa Jina Anaitwa IST
 

Attachments

  • IMG-20180326-WA0116.jpg
    49.3 KB · Views: 81
  • IMG-20180326-WA0119.jpg
    50.6 KB · Views: 67
  • IMG-20180326-WA0120.jpg
    50.6 KB · Views: 68
  • IMG-20180326-WA0117.jpg
    62.4 KB · Views: 61
  • IMG-20180326-WA0118.jpg
    60.8 KB · Views: 65
  • IMG-20180326-WA0120.jpg
    50.6 KB · Views: 57
Bei gani kufunga
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…