Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Whatsapp inahitaji muda mwingi uwe online,sasa huyu jamaa mara nyingi anazima data(anajua ni kwa nini nimesema hivi)
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unaanzisha tu anakuwa anatupia mizigo harafu anazima hiyo data yake baadaye anakuja kuangalia walionasa.
Kama wale autocom japan wanagroup huwa wanatupia mizigo kulaini
 
Unaanzisha tu anakuwa anatupia mizigo harafu anazima hiyo data yake baadaye anakuja kuangalia walionasa.
Kama wale autocom japan wanagroup huwa wanatupia mizigo kulaini
Hili wazo limetolewa siku nyingi... Naangalia namna bora yakulifanyia kazi lakini kwa sasa ukinifuata whatsapp nipo active sana nahakikisha nalipatia ufumbuzi hitajio lako
 
Hili wazo limetolewa siku nyingi... Naangalia namna bora yakulifanyia kazi lakini kwa sasa ukinifuata whatsapp nipo active sana nahakikisha nalipatia ufumbuzi hitajio lako
Achana na magroup ya whasap hayana maana utajaza watu 200 alafu kila siku ni haohao. Wanunuaji hakuna ila niwauliza specs za magari na bei. Alafu ni walewale limited. Hapa JF kuna wasomaji tu hawa comment na wanakufata huko whasap. Kwa ufup nadhan unaelewa kuweka biashara JF ni sawa nakuweka bidhaa sokoni hadharani na kuweka whasap ni sawa nakuweka chumbani
 
Ushauri mzuri sana huu
 
Noted
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…