kichaa cha mbwa
Member
- Aug 14, 2015
- 52
- 23
Nataka vits new model
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simply unacreate group mkuu then unashare hapa invitation link kanakwamba mtu akiclick hiyo link automatically anakua added kwenye group. Humo gari zote ambazo zinauzwa utakua unazipost so inasaidia mtu kua na wide choice kwa maana naweza nkawa napenda gari.flan lakini nikaiona nyingine nzuri zaidi kwa gharama nafuu nikawa na variety of options. Ni hivo mkuu, itapendeza zaidiSio gharama kubwa ni kati ya laki, laki na nusu.
Ni wazo zuri la group ila naomba unieleweshe zaidi, hao member wa group tunawachukua wapi, na maudhui ya group hasa itakua nini?
Atacreate group af watu wataanza stori za kitoto na kupost mambo ya siasa huko ile seriousness ya biashara watu hawanaga . Mi nadhani hapa mahali sahihi kabisaSimply unacreate group mkuu then unashare hapa invitation link kanakwamba mtu akiclick hiyo link automatically anakua added kwenye group. Humo gari zote ambazo zinauzwa utakua unazipost so inasaidia mtu kua na wide choice kwa maana naweza nkawa napenda gari.flan lakini nikaiona nyingine nzuri zaidi kwa gharama nafuu nikawa na variety of options. Ni hivo mkuu, itapendeza zaidi
Ni wazo zuri mkuu wacha tulitafakari kwa muda, tukiona linahitajika zaidi tutafanya hivyo, kwa sasa nitaunganisha namba yangu na WhatsApp ili mnifikie kwa urahisiSimply unacreate group mkuu then unashare hapa invitation link kanakwamba mtu akiclick hiyo link automatically anakua added kwenye group. Humo gari zote ambazo zinauzwa utakua unazipost so inasaidia mtu kua na wide choice kwa maana naweza nkawa napenda gari.flan lakini nikaiona nyingine nzuri zaidi kwa gharama nafuu nikawa na variety of options. Ni hivo mkuu, itapendeza zaidi
Ukitaka Ist D nzuri labda 8.5M naweza kutafutiaMkuu siwezi pata IST nr D kwa M8?
Jamaa wa Raum ni mzito kujibu kama umeipenda kuiona itapendeza zaidi.Hii raum ya 7.7 odometer inasomaje? Vipi ile ist ndo umekaza?
Toyota Avensis, bei 4.7M,mileage 12000km, contact 0689699704Toyota Avensis please?
Vits, model 2007,cc 1290,mileage 100000km, bei 7.8M,contact 0689699704Nataka vits new model
Hizo km nadhani hujakosea 3.5 vp?Toyota Avensis, bei 4.7M,mileage 12000km, contact 0689699704View attachment 630134View attachment 630135View attachment 630137View attachment 630138View attachment 630139
Sio gharama kubwa ni kati ya laki, laki na nusu.
Ni wazo zuri la group ila naomba unieleweshe zaidi, hao member wa group tunawachukua wapi, na maudhui ya group hasa itakua nini?
Natumai nimepewa info sahihi, ila mkuu 3.5 haijakaa vizuri, 4.5 itapendezaHizo km nadhani hujakosea 3.5 vp?
Karibu sana mkuuOk,ngoja nikusanye kidogo,namba nimechukua nimevutiwa na unavyojieleza na info zako zipo direct,safi kabisa.
Noah super Extra limo toleo la mwaka 1998 bei gani kwasasa nataka ambayo haija tembelewa bongo