Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
hahahha Madalali wenzio kwenye page Instagram
nimeona mmoja kaweka milioni 9
Sasa Mkuu umeamua kupata faida mara dufu ya zaidi ya Bei ya mwenye mali
Kwa jinsi hii biashara ya magari ilivo unaweza kufikiwa na gari baada ya madalali hata watatu na kila mtu anaweka cha juu chake,naamini hata Master of the game anapata gari nyingi toka kwa madalali wenzie. Kwa hiyo itategemea na yy kapata kwa dalali wa ngapi kwny mtiririko huo ndipo naye atafix bei yake,ndo mjini palivo.
 
Nina 6.5m nahtji GX 110 au Verosa namba D cc isizid 2000 4cylinder sylver Pm
 
Toyota Ractis mpya (haijatumika Tz)
Mwaka:2005
1290CC
53000km
Bei: Milioni 10.5
Mawasiliano:0658124554
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…