Member tunatoka hapa wa kwanza mm, na ktk group updated ni magari tu ndo maudhui ya group kichwa cha somo in kama hiki hapa kwenye jf hapa picha hazifunguki nyingine na hazionekani vzrSio gharama kubwa ni kati ya laki, laki na nusu.
Ni wazo zuri la group ila naomba unieleweshe zaidi, hao member wa group tunawachukua wapi, na maudhui ya group hasa itakua nini?
Hahahah....na amjalie kwelikweli.Mungu akujaalie ufanikiwe[emoji122] [emoji122]
Mkuu ni vizuri ukiona gari ukiridhika ndio tunafanya mazungumzo ya beiOk being nimeiona mwisho kabisa ngapi wafika
Ni wazo zuri mkuu tutalifanyia kazi vuta subraMember tunatoka hapa wa kwanza mm, na ktk group updated ni magari tu ndo maudhui ya group kichwa cha somo in kama hiki hapa kwenye jf hapa picha hazifunguki nyingine na hazionekani vzr
Sawa mkuuMkuu nitafutie vits clavia namba D km chini ya laki tufanye biashara
Naomba kuunganishwa mkuuMember tunatoka hapa wa kwanza mm, na ktk group updated ni magari tu ndo maudhui ya group kichwa cha somo in kama hiki hapa kwenye jf hapa picha hazifunguki nyingine na hazionekani vzr
Shukrani japo hii kwenye pitapita nilikuwa nshaoneshwa na bei kidogo yako ipo juu
Mkuu shilling ngapi hii?Surf ya 2004 hii hapa View attachment 633035View attachment 633036
26M mkuuMkuu shilling ngapi hii?
Ndivyo nilivyopewa mkuu, nitafute nyengine? na budget yako ikoje? na je kuna kitu hujakipenda kwenye hii ili kisiwepo kwenye hiyo nyengine?Shukrani japo hii kwenye pitapita nilikuwa nshaoneshwa na bei kidogo yako ipo juu
Shukrani mkuu kwa ushirikiano ..hii iko poa na my fav body colour was Gray....Ndivyo nilivyopewa mkuu, nitafute nyengine? na budget yako ikoje? na je kuna kitu hujakipenda kwenye hii ili kisiwepo kwenye hiyo nyengine?
Vizuri mkuu kama umefanikiwa, karibu tena.Shukrani mkuu kwa ushirikiano ..hii iko poa na my fav body colour was Gray....
I thanks jana nilipata make nisiwe mnafiki kabla ya kuuliza hapa kuna chimbo nilikuwa nako nimerusha ndoana
Weka rambogini apoo...+Land lover discovery 5 ahhh nazpenda sana hizi gari