Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Sio gharama kubwa ni kati ya laki, laki na nusu.
Ni wazo zuri la group ila naomba unieleweshe zaidi, hao member wa group tunawachukua wapi, na maudhui ya group hasa itakua nini?
Member tunatoka hapa wa kwanza mm, na ktk group updated ni magari tu ndo maudhui ya group kichwa cha somo in kama hiki hapa kwenye jf hapa picha hazifunguki nyingine na hazionekani vzr
 
Mbona surfu huweki mkuu
Surf ya 2004 hii hapa
tapatalk_1511011611852.jpeg
tapatalk_1511011609237.jpeg
 
Member tunatoka hapa wa kwanza mm, na ktk group updated ni magari tu ndo maudhui ya group kichwa cha somo in kama hiki hapa kwenye jf hapa picha hazifunguki nyingine na hazionekani vzr
Ni wazo zuri mkuu tutalifanyia kazi vuta subra
 
Member tunatoka hapa wa kwanza mm, na ktk group updated ni magari tu ndo maudhui ya group kichwa cha somo in kama hiki hapa kwenye jf hapa picha hazifunguki nyingine na hazionekani vzr
Naomba kuunganishwa mkuu
 
Shukrani japo hii kwenye pitapita nilikuwa nshaoneshwa na bei kidogo yako ipo juu
Ndivyo nilivyopewa mkuu, nitafute nyengine? na budget yako ikoje? na je kuna kitu hujakipenda kwenye hii ili kisiwepo kwenye hiyo nyengine?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Ndivyo nilivyopewa mkuu, nitafute nyengine? na budget yako ikoje? na je kuna kitu hujakipenda kwenye hii ili kisiwepo kwenye hiyo nyengine?
Shukrani mkuu kwa ushirikiano ..hii iko poa na my fav body colour was Gray....

I thanks jana nilipata make nisiwe mnafiki kabla ya kuuliza hapa kuna chimbo nilikuwa nako nimerusha ndoana
 
Shukrani mkuu kwa ushirikiano ..hii iko poa na my fav body colour was Gray....

I thanks jana nilipata make nisiwe mnafiki kabla ya kuuliza hapa kuna chimbo nilikuwa nako nimerusha ndoana
Vizuri mkuu kama umefanikiwa, karibu tena.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom