Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
duh hii bei ya mark X sio tatizo ila cc zake kuwa 2999 ni kwamba unywaji wake duh
 
Hii ni dollar 18, 000. Sema kuna nyingine pia zinatengenezewa South Africa kwa hii company ya land Rover. Bei yake ni tofauti pia. Ni gari nayoipenda sana. I believe in God and soon I am going to have it!.

Sent from my SM-G530F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwa bajeti ya 5.5m nitapata gari gani nzuri isiotumia sana mafuta
 
Daah hii nimeipenda, vipi sifa zake
5k engine, haina 4wd, huyu mama alinunua kwajili ya biashara ya maji akagundua baadae hizi gari sio nzuri kwa biashara hiyo.
Kwahiyo kaamua kuuza akiwa ameitumia kwa miezi michache sana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…